Theodory Byabatto
Member
- Jan 10, 2016
- 78
- 62
Habari wana Jf, kama nilivyoainisha kwenye kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji mpishi anayejua kupika chapati nzuri laini na zinazochambuka. Mwenye huo ujuzi anaweza kuwasiliana na mimi kwa simu Namba 0767 39 64 54. Mimi ninaishi hapa Dar es salaam.