Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 878
- 945
WanaJf.
NImeona c vbya kushare naye fursa hii ambyo nimeiita KISIMAPAY.
KisimaPay ni mradi wa kumiliki visima, hii fursa ipo eneo flani Kilosa na Gairo- Morogoro. Max 10millions as capital. Mradi ukiwa tayari, fanya kisima 1 kwa kaya 250, dumu 3 za lita 20= utauza kwa 200/=, 200/= mara 250 per day = 50000. Mara mwaka sawa 16550000+. Mahesabu hayo ni kwa minimum. NB: Ili kiwe modern lazima kitumie solar energy au ectricity power ya generator au umeme wa Tanesco.
NImeona c vbya kushare naye fursa hii ambyo nimeiita KISIMAPAY.
KisimaPay ni mradi wa kumiliki visima, hii fursa ipo eneo flani Kilosa na Gairo- Morogoro. Max 10millions as capital. Mradi ukiwa tayari, fanya kisima 1 kwa kaya 250, dumu 3 za lita 20= utauza kwa 200/=, 200/= mara 250 per day = 50000. Mara mwaka sawa 16550000+. Mahesabu hayo ni kwa minimum. NB: Ili kiwe modern lazima kitumie solar energy au ectricity power ya generator au umeme wa Tanesco.