MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,432
- 1,749
Habari za leo. Nauza ndege aina ya kanga. Wapo aina mbili weupe na wale wa kawaida. Bado mwezi mmoja waanze kutaga. Wana afya njema sana na wametunzwa vizuri. Bei ni sh 25,000/= kwa ndege mmoja. Nawauza kwa sababu nilipo sina eneo kubwa la kutosha kwa kuwa ni wengi.