mbogojnr
Member
- Jun 26, 2012
- 30
- 15
Ndugu wanajamii forum kuna gari aina ya IST inauzwa mwenye ofa nzuri anakaribishwa. Injini bado iko poa isipokuwa ina matatizo kwenye gear box maana ilipata ajali pia iliibiwa taa hivyo taa zilizopo ni za kichina na bumber kidogo ina shida. Taa zake ni za booster.