Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Serious buyer 0717197449
0 Reactions
3 Replies
872 Views
Inauzwa kwa tsh. 200,000 Tu. Kwa mahitaji ni PM nipo dar.
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Two surveyed plots with title deeds (1) 5,115 sqm (2) 9,199 sqm. Good access road off the Dar es Salaam-Mtwara Highway. No middlemen required. Only interested buyers should in-box me.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar zenu wanachama wa JF. Nina habari Nzuri kwa wote wanaohitaji Payroll calculator/ Sheet kwaajili ya kukokotoa mishahara ya wafanya kazi yenye sifa zifuatazo : 1. Iko updated katika PAYE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanasaikolojia Anti Sadaka Ameandaa Semina kwa Vijana Na Amewaomba Wazazi na Walezi kuwashirikisha kwenye hii semina ya vijana.... "College Ready" kwa vijana wote walio vyuoni na wale...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nina Chaja ya laptop ambayo inaweza tumika kwenye umeme wa Gari,Battery ya Gari au Solar(input 11V to 14V) kwa ajil ya kuchajia laptop,inaweza tumika kwa aina 8 tofauti za laptop(ina pin 8 so...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Tunataka mtu 1 mwenye Diploma/degree ya Records Management/ Archives kwa ajili ya assigment fupi ya up to 2moths. Awe Dar na awe available immediately. Kama hujasome hii please us pm. Pm au weka...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Nina Asali mbichi Kutoka Tabora haijachakachuliwa Lita tsh 8000 nicheki kwa 0787518644, zipo Lita 500
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Napenda kutoa taarifa kuwa nilitoa tangazo kwamba natafuta fundi wa ujenzi, nashukuru nimempata na tayari ameanza kazi. Asanteni wote kwa ushirikiano.
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Naomba kujua bei ya bajaji mpya TVS , mwenye nayo au kama kuna agent yoyote anaye uza bajaji naomba tuwasiliane.
0 Reactions
25 Replies
12K Views
Jamani eeh,mimi mjasiriamali mdogo mwanzo nilinunua line humu nimetapeliwa....anyway mimekupotezea. Sasa nimejipanga upya,nahitaji laini mbili mpya za m pesa na T.pesa ukijihisi tapeli hii thread...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Iwe ya usajili wa c au B,bajeti yangu ni milion Saba
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari... Natafuta ukumbi uliotulia na uliopo sehemu salama na inayofikika kirahisi Arusha Mjini kwa ajili ya Kuendesha seminar kwa wiki mbili. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 30 tu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza nyumba ml 5 ni chumba na sebule mpya ipo nzuguni dodoma 0769057700
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Lg g2 D802 for sale anaehitaji tuwasiliane 0682871824
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Wanadu wa jukwaa, yeyote anayeweza kunisaidia mahala nitakapoweza kukipata kifaa hiki ndani ya TANZANIA atakuwa amenisaidia kwani nimeshatafuta sana kwenye maduka ya electronics bila mafanikio
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Fursa kwa wafugaji wa kuku wa mayai, nahitaji kununua nayai kwa bei ya jumla niko mtwara uwe tayari kunisafirishia kwa basi cost za usafiri za kwangu, serious seller PM please! NB:kwa wauzaji wa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau, Natafuta mkopo nafuu wa pikipiki kwa matumizi binafsi ya hapa Dar. Mwenye taarifa zozote nitashukuru.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza nyumba ml 4.6 IPO dodoma nzuguni ni chumba na sebule 0769057700
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani hapa Dar wapi kunapatikana vyumba vya kupanga bei nafuu? Sh elfu kumi 20 au 30. Nataka nimpangishie dada yangu.
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Back
Top Bottom