Halijakamilika. Ukubwa wa uwanja 1094 mita za mraba. Kiwanja kina haki miliki ya ardhi’’Title Deed” kuna apartments 6 (one bedroom apartment)@ Bei 370mil.... kwa maelezo zaid au kuiona piga...
Vitu vifuatavyo vinauzwa bei chee!;Displaying boards 2 ukubwa futi 4*8 zikiwa na hooks 40vyote tsh 140,000/=, showcase ya Aluminum ya ukutani tsh 60,000/= pia kuna marine Boards zilikuwa...
Kama mada inavyojieleza, gari iwe kwenye hali nzuri, 4wd, mwaka 2000 kuja juu, haijapata major accident, mteja ana 12m, tuwasiliane kama ni muuzaji serious.
rav4
Toyota volts
Habarini ndugu zangu namtafuta bwana shamba il akanichekie eneo chalinze km panafaa kwa kilimo cha tikit eneo langu lipo chalinze panaitwa mboga karibia na msoga my no 0653716282
Ni moja kati ya sehemu nzuri kweli kweli kwa wapenzi ambao wana mpango wa kutembea au kwenda fungate. Ngorongoro crater lodge ni miongoni mwa sehemu nzuri ambazo unaweza kwenda na mpenzi wako kwa...
Hellows wana jf
Ninauza seti za perfume kwa bei ya jumla na rejareja....
Seti moja ya kike inakua na perfume, spray, lotion na poda.. Seti moja ya kiume inakua na perfume, spray, sabuni na...
samahani was JF natafuta mahali pa kufanya kazi ya kujitolea iwe ni bank au taasisi yoyote lengo ni kupata uzoefu .Elimu ya yangu in Diploma in business administration specialized in marketing...
habari zenu wadau.
nauza laptop yangu nzuri na kwa bei nafuu.
ni hp, corei5, 4GB RAM, na HDD 320.
Bei yake ni nyepesi tuu 550,000/=
kama unahitaji tafadhali ni pm
Wandugu,
Natafuta mashine kubwa ya kuranda na kukata mbao, nahitaji kuitumia katika workshop yangu. kwa mtu ambaye anayo, tafadhali tuwasiliane kwa kunipm, isiwe ya Kichina wala ya Kibongo, iwe...
Natafuta fundi wa ujenzi mwenye uwezo wa kusoma ramani na kujenga. Ikiwezekana awe amesomea civil hata level ya veta grade one. Mawasiliano 0714374155 au 0753199179. Site ipo Dar viwege majohe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.