Nauza nissani navara bei mil 19. Please nipgie 0688799112. View attachment 383427View attachment 383428
Nadhani amechanganya hii ni Nissan Hard body...Mkuu hii Navara au hardtop?u
Sure!Nadhani amechanganya hii ni Nissan Hard body...
Sio kweli mkuu ulichoongea South Africa ipo hiyo Hard body na Navara pia, Hard body ni toleo la nyuma ya Navara Mkuu...Hizi gari za ulaya zinaitwa Navara, Marekani zinaitwa Frontier na za South zinaitwa Hardbody.. But zote ni kitu kimoja by appearance... Ni gari nzuri sana kuwa nayo...
Sio kweli mkuu ulichoongea South Africa ipo hiyo Hard body na Navara pia, Hard body ni toleo la nyumView attachment 383723
Mkuu unachosema ni kweli.. Navara ni jina ambalo limetumika kwa model mpya ambazo zipo pote duniani including na South.. Lakini pia jina hilo lilipata kutumika kwenye model ya zamani toleo la ulaya kama ambayo inauzwa na mleta mada.. So wote hapa tuko sahihi ila mimi na wewe tulipishana kwenye model.. Wewe umejikita zaidi kwenye Navara model mpya.Sio kweli mkuu ulichoongea South Africa ipo hiyo Hard body na Navara pia, Hard body ni toleo la nyuma ya Navara Mkuu...