Tunauza nguruwe wenye mimba uzao wa pili na kuendelea.Ni mbegu nzuri kabisa inazaa watoto 9-12. Bei ni 400,000-500,000 kwa mmoja
Tupo maeneo kijiji cha maseyu along morogoro road. Tunaweza...
Habar wakuu,simu yangu imekufa betri baada ya kuiacha chaj kwa muda mrefu sasa nimejaribu kutafuta betri dukani nimekosa,,sasa kwa Mwenye nayo hiyo betri ani PM,au a nichek.
kwa wale wapenzi wa simulizi katika mfumo wa sauti (AUDIO) sasa ni OFA kwenu kwa Tsh1500/= tu utatumiwa simulizichizo kila siku kwa whatssap ....
kwa mawasiliano zaidi- 0743624579
habari waungwana.nataka kujua kwa hapa dar wapi ntaweza kupata mbegu za nyanya zinazoitwa eden zinazotengenezwa na kampuni la seminis.natanguliza shukrani.
Wakuu salaam mimi nipo Iringa mjini nahitaji mbegu ya kitunguu. Nahitaji kulima eka moja nipo Iringa naombeni msaada. Mbegu ninayo hitaji ni aina hizi Mang'ora red,Red creole au bombay red...
Natoa huduma ya kuuza playstations 3 ambayo ziko chipped tayar na zenye michezo 5 ndani yake unayopenda wewe,ikiwa pamoja na padi mbili,adapter na waya wake ,michezo ipo ya kila aina na latest...
Habari wana JF,
Kama heading inavyojieleza.
Leo nmejikuta nakumbuka wakati wa utoto wangu,nmekumbuka tulikua tunakwenda sunday school kila Jumapili na huko tulikua tunapata mafunzo tofauti na...
Kamera hii inapiga picha na kuchukua video.Kamera imetumika kidogo miezi michache na haina tatizo lolote.Ina mega pixel 5,optical zoom3,digital zoom 4,na skrini ya nchi 2.4.
Unaweza kuiona katika...
Karibuni Dodoma.
Kama unahitaji Nyumba ya ama kupanga au kununua pamoja pia na Kiwanja/Viwanja Sehemu
yoyote katika Makao Makuu ya Nchi-Dodoma, Tuwasiliane.
Call 0759 888 018 au Ni-pm kwa...
Jamani naombeni msaada wa hiyo kitu hapo juu nahitaji kimojawapo pia mwenye setup ya pc games za football fifa na pesi kuanzia 2013 hadi now naomba anijuze, kama pesa ipo.
ASANTENI SANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.