Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza nguruwe wenye mimba uzao wa pili na kuendelea.Ni mbegu nzuri kabisa inazaa watoto 9-12. Bei ni 400,000-500,000 kwa mmoja Tupo maeneo kijiji cha maseyu along morogoro road. Tunaweza...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar wakuu,simu yangu imekufa betri baada ya kuiacha chaj kwa muda mrefu sasa nimejaribu kutafuta betri dukani nimekosa,,sasa kwa Mwenye nayo hiyo betri ani PM,au a nichek.
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Sh milioni 21,500,000 imelipiwa ushuru na Kusajiliwa 0784604971 0714894088 0762641094 mnanacom@yahoo.com mnanadotcom@gmail.com mnanadotcom@hotmail.com
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Simu yanfu imekufa betri. kwa anaeuza wakuu,anichek pm,,,,au munielekeze wapi nikanunue sababu madukani sizion.. msaada wenu unahitajika
0 Reactions
0 Replies
1K Views
We provide free digital coding and printing service of sheet music.
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Get your sheet music scores digitally coded and printed for free!
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Tv hisence 42 inch ipo katika hali nzuri inauzwa tsh 750,000...ipo dar..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa wale wapenzi wa simulizi katika mfumo wa sauti (AUDIO) sasa ni OFA kwenu kwa Tsh1500/= tu utatumiwa simulizichizo kila siku kwa whatssap .... kwa mawasiliano zaidi- 0743624579
0 Reactions
0 Replies
471 Views
wadau visitin hii link mkipenda mjiregiste kabisa DoneForPay.com - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
0 Reactions
0 Replies
574 Views
habari waungwana.nataka kujua kwa hapa dar wapi ntaweza kupata mbegu za nyanya zinazoitwa eden zinazotengenezwa na kampuni la seminis.natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nataka smart ilionyooka isiwe na tatizo lolote
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu salaam mimi nipo Iringa mjini nahitaji mbegu ya kitunguu. Nahitaji kulima eka moja nipo Iringa naombeni msaada. Mbegu ninayo hitaji ni aina hizi Mang'ora red,Red creole au bombay red...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Natoa huduma ya kuuza playstations 3 ambayo ziko chipped tayar na zenye michezo 5 ndani yake unayopenda wewe,ikiwa pamoja na padi mbili,adapter na waya wake ,michezo ipo ya kila aina na latest...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wana JF, Kama heading inavyojieleza. Leo nmejikuta nakumbuka wakati wa utoto wangu,nmekumbuka tulikua tunakwenda sunday school kila Jumapili na huko tulikua tunapata mafunzo tofauti na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii,,,,naombeni mwenye info za wauzaji wa bajaji used kutoka nje na bei zake,,,,Namaanisha sio mpya lakini ziwe nzuri na nzima,,,,,,,
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Kamera hii inapiga picha na kuchukua video.Kamera imetumika kidogo miezi michache na haina tatizo lolote.Ina mega pixel 5,optical zoom3,digital zoom 4,na skrini ya nchi 2.4. Unaweza kuiona katika...
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Karibuni Dodoma. Kama unahitaji Nyumba ya ama kupanga au kununua pamoja pia na Kiwanja/Viwanja Sehemu yoyote katika Makao Makuu ya Nchi-Dodoma, Tuwasiliane. Call 0759 888 018 au Ni-pm kwa...
1 Reactions
58 Replies
6K Views
Jamani naombeni msaada wa hiyo kitu hapo juu nahitaji kimojawapo pia mwenye setup ya pc games za football fifa na pesi kuanzia 2013 hadi now naomba anijuze, kama pesa ipo. ASANTENI SANA.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana jf, nauliza ni showrooms zipi kwa dar es salaam naweza pata gari kwa bei nzuri.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom