#Imetumika miezi mitatu tu
#Bado kama mpya vile
#Haina mchubuko hata kidogo
#Internal storage 8gb
#with memorycard 32gb external
#with glassprotector
#with back cover
450k fixed
Call: 0732 000 001
Jaman members napangisha fremu yangu manyanya nataka kodi ya miezi 10.ina tailizi na mlango wa aluminium. Serious mteja tuwasiliane kupitia 0742698585 karibu sehemu ni nzur sn
Kipi kizuri hapo?
Startimes hakistratch kama zamani
Zuku wameleta kifurushi mpaka cha elfu kumi channel 38
Haya na startime nao wana kifurushi cha elfu tano channel 38 kipi kizuri wakuu?
Simu kali ya Tecno Camon C9 yenye uwezo wa hali ya juu katika kupiga picha ikiwa na Camera mbili (Mbele na nyuma) za Megapixel 13, uwezo wa 4G LTE na teknolojia mbali mbali za kisasa imeingia...
Kwa mweye hii gari anipm, iwe 2nd hand, au imekuwa registered mwaka huu, iwe katika hali nzuri, kwa maana original colour (ila isiwe nyeupe) no scratches wala dents, (mibonyeo) mileage isizid...
Bikuhabari memba wenzangu wa JF.
Lodge mpya bado haijaanza kufanya kazi, ina jumla ya vyumba 12, vyumba 10 self, viwili vilivyobakia ni store na mapokezi.
IPO Mbagala Mzinga, bei inaanzia...
Habari zenu. Msaada kwa yoyote anayejua jinsi ya kusafirisha bidhaa kutoka Nairobi hadi Dar. Mabasi yakawaida hayaruhusiwi kubeba mzigo wa biashara ila kuna mabasi special ya mzigo yanaishia...
Wauzaji WA Mbao aina zote za kupaulia na kujengea, na niwauzaji wa vifaa vyote vya kupaulia, mfano Mbao, bati aina zote Na misumari. Wasiliana nao 0744756127/0655337479.
DELLflat screen tv pia unaweza kuitumia kama monitor kwenye computer 200,000/=
Deki ya singsung 45000/=
King'amuzi cha startimes 20000/=
Subwofer aina ya rising 70000/=
Laini ya m pesa 120000/=...
Shamba linauzwa, liko kijiji cha msowero, wilaya ya kilosa mkoa wa Morogoro. shamba limepimwa na lina hati, ukubwa ni ekari 47.8 liko kandokanda mwa mto msowero linafaa sana kwa kilimo cha...
Hiki King'amuzi unapata Channels zaidi ya 110 za Dini, zikiwepo channel za Bongo Maarufu kama
-SHILO TV(Prophet Frank J.K.)
-ARISE AND SHINE(Apostle Bulldoza)
Nyinginezo za nje Maarufu ni kama...
MBU ni tatizo kubwa kwa afya zetu na familia zetu kwa ujumla.Tokomeza maleria kwa kutumia dawa ya asili iliyotengenezwa kwa mitishamba.Dawa hii ukishaiweka kwenye umeme inatoa harufu nzuri...
Salama Wakuu,
Nahitaji haraka vifuatavyo:-
1. Mota ya mashine ya kusaga Hp kati ya 30, 40 au 50
2. Mizani Digital na wa mawe ya kilo 300
3. Mashine ya kushonea maguni/viroba
Vyaweza kwa...
nauza dawa za mitishamba zilizotokana na mimea mf mlonge mkedule na mlidino...za nguvu za kiume wasiodindisha .uume legelege...wanao wahi kupiz..na za wanawake wasiozaa ..wenye maumivu chini ya...
Heshima kwenu wakuu!
Naomba kujua kama kuna mtu au kampuni inayokodisha helicopter (Chopa)
Naomba kujua gharama zake na idadi ya seat.
Chopa inategemewa kutumika kupita juu ya mlima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.