Hi wanajamii, nahitaji kijana mbunifu wa kunitengenezea APP yangu, nitumie na references zako nione, propose bei, though tutanegotiate, bei iwe nafuu wajameni maana zile bei za kuchaji corporate...
Nauza Pool table Arusha,
Ni pool ya kete ndogo, ipo katika hali nzuri. Ina vumbi, inataka kusafishwa
Angalia picha, Kwa taarifa zaidi au kuiona
Piga 0718 653 453
Bei 550,000
Tunapenda kukualika 2 days leaders and Youths fellowship conference by Victor Nkomo kutoka South Africa ni week hii ijumaa na jumamosi tarehe 26 na 27 Katika hotel ya Midland, iliyopo mtaa wa...
Nina kampuni ya kuuza ASALI inaitwa HONEY SPRING iliyopo Morogoro Mjini na ninauza ASALI YA NYUKI WADOGO toka TABORA.
Natafuta mjasiriamali aliepo ARUSHA MJINI nifanye nae biashara kutokana na...
Haya hayaaa wakazi wa ARUSHA Gari hilo hapo kazi kwenu
Aina CR-V
Namba A
Ilipo;Mkoa wa ARUSHA
Mapungufu yake
1.Tairi za mbele zimeisha kidogo
2.bodi imepigwa na jua kidogo
3.system;automatic car...
COMPANY ya kukusanya vyuma chakavu zinatafutwa,
Hii ni kampeni ya Nchi za Scandnavia, ya kukusanya vyema chakavu na kuvituma huko,
kinachotakiwa ni Kampuni yenye uwezo mkubwa wa ukusanyaji wa...
Kamata ticket yako ya nyama choma toka tecno Kampuni maarufu ya simu Tanzania imekuja na tiketi za kuifanya wikiend yako iwe imara na ya furaha ha ukizingatia ni mwisho wa mwezi ambapo kila mtu...
Dealers Business card, Brochures, Posters, Calendar, T - Shirt & Caps printing, PVC Stickers, Wheel Covers, Card etc you are welcome
0758339065/0673339065
Kiwanja kinauzwa kipo Kigamboni eneo MWONGOZO karibu kabisa Na Magorofa yaliyojengwa pale Sifahamu ni ya nn .BEI NI MILIONI 60. MAONGEZI YAPO KIDOGO KARIBUNI WASILIANA NA MUUZAJI /MWENYE KIWANJA...
TIMU YA SAFARI TV SHOW.
Safari Tv Show kuptia TV 1 siku ya jumatatu saa 12:00 Jioni, marudio Jumanne saa 6:00 Mchana na alhamisi saa 6:00 Mchana. Tumeamua Kuzunguka nchi nzima na kuonesha kazi za...
Wakubwa salaams, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata mbegu za nyanya aina ya F1 hapa dar es salaam anifahamishe. Ahsante.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Salaam; wapendwa nahitaji Vitunguu swaumu vya Arusha; Naomba msaada niunganishwe na wakulima walioko Arusha au kwenye Soko la jumla Arusha; kwa Dar naona bei imezidi sana; no yangu ni 0716 201695...
Wadau habari za kazi kwa wale wenyeji wa Iringa mjini natafuta nyumba ya kupanga inayojitegemea kwa umeme na maji yenye vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwe master,choo cha public,sebule isiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.