kama una uwezo wakukusanya kuanzia tani100 hii ni fursa yako yakujikwamua kwenye dimbwi la umaskini. Popote Ulipo Tanzania Nakuja kuchukua mzigo. Kwa sasa nanunua 400000/ton
Wana Ndugu
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kasuku mwenye umri wa karibia Miaka 2.
Mpaka sasa anauwezo wa kuongeza kwa mluzi tu. Ila akilishwa pilipili kwa muda wa miezi miwili mpaka mitatu...
Pata portable router ambayo unaweZa kusafiri nayo popote pale.
Pia Ina Uwezo wa kuunganisha vifaa 10 at once. Pia Kama una smart TV ni nzuri kwani unaweZa ukaangalia YouTube kwa kutimia hii...
Wakuu nauza gari yangu Toyota Starlet rangi ya silver
Mwaka 1998 imetembea km 139000
Gari ipo katika hali nzuri
Imeishiwa motor vehicle licence
Tshs 4,500,000/= maongezi yapo
Piga 0685909992
Nipo...
Habari wadau,kwa wale wanaohitaji nguo za mtumba kwa bei ya jumla pamoja na rejareja tuwasiliane 0659965555.Tupo dar es salaam,na kwa wale mliopo mkoani pia tunakutumia mzigo kwa bei poa...
Shamba linauzwa Kigamboni, liko Mwasonga ekari 6. Km 18 kutoka Kibada au Km 21 kutoka dara jipya. Shamba liko barabarani, barabara kubwa ya TANROADS karibu na kinapojengwa chuo cha kilimo.
Shamba...
Shamba linauzwa Kigamboni, liko Mwasonga ekari 6. Km 18 kutoka Kibada au Km 21 kutoka dara jipya. Shamba liko barabarani, barabara kubwa ya TANROADS karibu na kinapojengwa chuo cha kilimo.
Shamba...
Hellow wana JF nipo kwenye kampuni ya vifaa vya ujenzi aina zote bei nafuu tunatengeneza step tiles na head stones (makaburi aina zote) pamoja na kuweka picha na maandishi bila kusahau nina...
Habari waungwana!! Rejea heading hapo juu,nauza ideas mbalimbali za vipindi vya Televisheni,Radio,Blogs na Filamu.Pia naandika research proposal mbalimbali kwa wanaohitaji.
Ideas zipo tayari na...
Habari wana JamiiForums,
Nnimejitokeza tena kwa mara ya pili baada ya kupata ushauri kutoka kwenu juu ya kilimo cha Mbaazi hapo nyuma, well nimepata elimu mbalimbali na kuhudhuria mpaka semina za...
PURE BOXER ,PURE COTTON KUTOKA UTURUKI MZIGO MPYA UMEWASILI BEI ELFU 6500 TU KWA REJA REJA JUMLA NICHEKI PRIVATE WA DSM TUNAFIKISHA ULIPO MKOANI TUNATUMA , BOXER SAFI KABISA
Wadau,
Natafuta packaging material/vifungashio kwa ajili ya bidhaa zangu. Natengeneza Jam and Jellies na kusindika vyakula mbalimbali. Please msaada wapi naweza kupata hizo materials.
Mlango wa gari ya Toyota Porte ni automatic. Nilipeleka gari kuoshwa baada ya hapo ile automatic ya kufunga na kufungua mlango inegoma. Kama kuna fundi anitafute kwa namba 0784674578
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.