Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunafuraha kukujulisha mteja wetu kuwa huduma zetu za solar ni bora sana na ni nafuu. Tunafunga pia BACKUP ZA UMEME kwa mteja mwenye tanesco na haitaji kukatikiwa na umeme. Solar water heater na...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Habari wadau, Naulizia bei za sasa hivi za viwanja Mbweni JKT na Mbweni Malindi. Natumani kwa sasa zitakuwa zimeshuka kutokana na hali ya sasa
0 Reactions
10 Replies
46K Views
Habarini wana JF. Mimi ni mkulima wa mihogo, nina shamba langu nimelima mihogo. Sasa natafuta wateja wa miogo. Hivyo kama kuna dalali yeyote aliye tayari, aweke namba yake hapa tuwasiliane. Shamba...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini wakuu? Nani analo soko tufanye biashara ya nazi nimletee alipo. Mawasiliano 0759819631
0 Reactions
9 Replies
4K Views
hii ni fursa kwako..kuna uhitaji mkubwa wa kumbi za kisasa za mikutano na starehe , hata Hostel za kisasa zinahitajika huku. Pia kwa mahitaj kuuza/kupangisha viwanja, Plot , nyumba ,vyumba n.k...
0 Reactions
2 Replies
971 Views
Nauza laptop ASUS nimeinunua mwaka huu mwezi wa 2 mpya kabisa bei tsh 350,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba ina viumba 3 sitting room dinning room jiko masta choo cha ndan fensi umeme PIG 0719 514377
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Njoo tukuchimbie kisima kwa shillingi elfu sitini tu kwa mita moja... Piga simu namba 0655541948
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji double cabin ya Kukodi iwe na 4 wheel drive aliyenayo anicheki PM
0 Reactions
1 Replies
747 Views
Ina kila kitu kwenye vyumba viwili inauzwa kama ilivyo bei ni milioni 5 tu mazungumzo yapo, location ni Manzese Argentina
1 Reactions
39 Replies
6K Views
NI Siku #89 Tu Zimepita Toka Kuanza Kwa Crowd Rising Na Tayari WAtu Wanazidi Kujiunga Bado Wewe Tu! KAribu KAtika Familia Ya Mafanikio Badili Muelekeo wa Maisha Sasa KWa Tsh.20,000/= Tu Kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nahitaji vifaranga wa kuku chotara na vifaranga wa kanga. Mwenye navyo au unaweza nifahamisha wapi naweza vipata tafadhari nifahamishe.
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Mfanyakazi wa Salon ya kike mwenye ujuzi wa kusuka vizuri nywele za rasta aina zote, hususani yeboyebo anahitajika haraka. Salon iko Mbezi Salasala mwisho wa lami. Piga no. 0784 386474 Au 0718 780556
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Taarifa ya uuzwaji viwanja, nyumba, kigamboni. Na mashamba mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga. Tuwasiliane kwa maswali zaidi. Simu no. 0713024990, Email. Muram1994@gmail.com.
0 Reactions
23 Replies
7K Views
FOR ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ DATE LISTED: 10 AUGUST 2016 ASKING PRICE: TSH:250,000 laki 2 na nusu TERMS OF PAYMENT: 6 MONTHS ( miezi 6) + KODI YA MWEZI MMOJA YA DALALI...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
habari zenu wandugu, nauza king'amuzi cha startimes cha antena nipo Arusha, mwenye kuhitaji ani- PM.
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Jipatie Container nzuri za 20ft hapa jijini Mwanza kwa bei nafuu ya Tshs 3 milioni kwa kila moja. Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa 0742159555
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Fundi wa TV aina ya sansan 32'' led TV , Ilizima tuu ghafla, nipo Moro au kama kuna anaye yajua maduka ya kampuni hii kama yalivyo maduka ya Samsung anijuze Natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ya mwaka 1995 Ipo vzur Price 5500000 maongez yapo Welcom pm
0 Reactions
2 Replies
721 Views
Key Features Model: 49uf640 ULTRA HD 4K Resolution Triple XD Engine WI-FI built in LAN Lg store apps Full Web Browser Smart TV with webOS Ultra HD 4K Streaming 4K Upscaler IPS 4K Panel Magic...
1 Reactions
1 Replies
837 Views
Back
Top Bottom