Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kipo katika hali nzuri kinafaa kwa biashara.Kutoka katika kituo cha daladala Magereza Unatembea kama mita 800..Kipo karibu na ofis za ccm...kwa mawasiliano zaid 0659663232..Bei mill 22maelewano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Please nisaidieni wapi napata magazines especially za south africa,,kama drum etc,kwa dar Aksante Na kwa za tanzania kama bang
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Habar wakuu nauza freezer kubwa imetumika mwenz mmoja tu haina tatizo lolote sema ninahama kikaz bei ni 570k kama wataka kuna njoo Whatsap 0763772636 nipo Dar pia kuna Tv stand nayo IPO sokon bei...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi Mi naishi Dar-es-salaam , natafuta mtu mwenye mabanda au eneo ambalo hatumii kwa sasa ili anikodishie nianzishe mradi wa ufugaji wa nguruwe na kuku liwe na maji itakua...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu natafuta mashine hizo mbili naomba kwa anayejua anielekeze kwa kuzipata Au anipe contact za mtu wa kunisaidia Aksante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
This plot is situated in a prime area of Jangwani Beach- Mbezi Beach close to all amenities. 3310 sqm size. Do not delay on this ideal opportunity to do your own development. For more information...
1 Reactions
1 Replies
957 Views
Nauza macbook air core i5 ,, ram 4gb , hdd 250gb Price ni bei karibu na bure 1mill tu Phone number .0765024294
0 Reactions
1 Replies
564 Views
Salaam wakuu, nahitaji mold za kutengenezea nguzo za nyumba zenye urembo, pamoja na "pannel" za fensi. Zinapatikana wapi na kwa bei gani wakuu?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tumeagiza container la vifaa vya Solar toka Ujerumani.Sasa hivi container lipo majini ,melini litaingia baada ya wiki mbili.Anahitajika haraka mnunuzi wa jumla.Tafadhali anahitaji aje in box...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Brandnew IPhone 5 for sale Full accessories(No Box) 16GB Internal Storage Colours available are Space Grey and Silver Price 430,000 For Space Grey Price 440,000 For Silver Contact 0784780955 or...
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu. Ninatafuta mbwa wa kufuga ndani. German shepherd original wawe wadogo kama wanne. Pia kama kuna Siberian husky or golden retriever. Naomba uweke picha hapa na...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Wa kulima wenzangu mlionitangulia salamu kwenu.... Bado natafuta shamba Ruvu niliandika Uzi huu siku Fulani lkn si kupata mafanikio maisha magumu jamani nimeona nivumilie kwenye kilimo tuu Namba...
0 Reactions
3 Replies
766 Views
Na pia za matangazo yoyote yale unayoitaji kama vile infolinks ninazo account zake nicheki 0675968762 au 0765321403.
0 Reactions
1 Replies
716 Views
Leo navuna samaki kwenye bwawa langu la samako chalinze muda huu huu. Kwa wanaohitaji samaki kuanzia 5kg ntafanya delivery. Bei 9000 per kg. Karibuni sana. Mnaweza nicheki via +255688151545
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Mobisol wanaondoa giza, wanaingiza mwanga nyumbani mwako. Tuwasiliane upate maelekezo kwa kina.
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Mawasiliano 0718887009 0758266736
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanaJF Kama nilivyoeleza. Nahitaji mchanga bora wa kufyatua tofali. Mimi nipo moshi. Nasikia mchanga wa bomang'ombe ni mzuri. Naomba tujuzane bei kwa kila lori/trip. Nina uhitaji wa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimelima shamba la Eka 2 lakini nilichokipanda ni cha Ekari moja Nataka nimkatie mtu hyo Ekari moja iliyobaki Shamba lipo Bagamoyo Mtoni pembeni ya mto Ruvu. Shamba limesha andaliwa PM tuongee...
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Nauza simu aina ya HTC ONE MAX no 7 0928 01 yenye sifa zifuatazo 1. Aina ya simu: htc one max 2. Kioo: super lcd 3, 16 M multicolours 3. Saizi: 5.9 inches 4. Resolution: 1080x1920 pixel...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom