Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jf, Nauza seti za perfume za kike na kiume.. Seti moja kubwa inakua na vitu vitano... Kwa seti za kike, inakua na perfume, spray, sabuni, poda na lotion.. Kwa seti za kiume, kunakua...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 30m*27m (sqm 810). Bei 1.6ml. 0753101293
0 Reactions
8 Replies
979 Views
Plot ipo TABATA SEGEREA MT 900 toka stand ya daladala hakijapimwa lipo eneo zuri sana kwa makazi na biashara ni mali yangu mwenyewe sq metre 486 kina urefu 27 na Upana 18 bei ni 20 million kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Orliflame ni kampun ya kisweden iliazishwa mwaka 1967, iko zaid ya nchi 60 dunian, na uzoefu wa miaka 50. Inajihusisha na bidhaa za asilia kuazia kichwan hadi miguuni, kwa wanawake, wanaume na...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
wazima? Naomba kuuliza kama naweza kupata mkopo kutoka either kutoka bank/ taasisi ndogondogo za kutoa mikopo au hata watu binafsi? Kiasi cha mkopo ni milions kadhaa ila dhamana naweka vyeti...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
habari wana jf wenzangu samahanini kwa usumbufu mwenzenu ni mgeni na ninaomba kujua au kufahamishwa kwa undani kuhusu chuo cha rao healthy training center kilichopo wilaya ya rorya mkoa wa mara...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Nahitaji Soko la disfectants, Liquid Soap, Tile Cleanser na Lotion. Nitafanya delivery popote. 0715489388
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji chumba na sebule. Maeneo ya mwenge / sinza / survey au ubungo. Isiwe mbali na barabara. Kuwe kuna maji na umeme. Kodi isizidi 120,000. Kama unayo au una info zozote naomba uni pm.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Bei: Mil 35 Ina hali nzuri Engine: vvt-i 2392cc Mileage: 32400 km Imetengenezwa: 2010 Mazungumzo yanaruhusiwa kama una nia Mawasiliano: 0652 859530 Karibu
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Kwa wahitimu wa kidato cha sita 2016 hongereni wote mliofaulu mitihani yenu kazeni buti kwani mapambano ndo yanaanza kwa wale ambao kwa bahati mbaya matokeo yao sio mazuri basi msikate tamaa kwani...
0 Reactions
59 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Napenda kuwatangazia biashara ya nyumba inauzwa kiuhalali Kinyerezi mwisho yenye sifa zifuatazo 1. Nyumba kubwa na banda la uani (nyumba ndogo) Nyumba kubwa ina: Vyumba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta kijana fundi wa kutengeneza kitimoto awe mwanza maeneo ya igoma. Kwa mawasiliano zaid 0754540397
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Habari Wakuu, nilikuwa Natafuta ushauri,uzoefu na maelekezo yenu ni wapi ntapata mkaa Mzuri kwa matumizi ya nyumbani. Mkaa ninaotafuta ni wa bei ya jumla pia biashara hii ntaifanya kwa kufuata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna viwanja vinauzwa eneo la Kimara Kibamba. Ramani ya viwanja husika imeambatanishwa hapa chini. Kila kiwanja kinachoonekana ni TZS 4,000,000/= (milioni nne tu). Nafasi ya majadiliano...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji viti 1000 vya kukodisha kesho
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kma kichwa cha habar kilivyoeleza apo juu naitaji rain za iyo mitando tajwa apo juu kama utakua nayo na unaihuza niprivate massage Note:- itakua vizur ukataja aina ya mtandao wa rain unayoiuza...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Engine:automatic,haidaiwi chochote,full ac Bei 7milioni kwa maelezo njoo dm
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Jipatie vocha ya Buku ya Airtel yenye dakika 110 (dakika 10 mitandao yote) SmS bila kikomo. Inateneti 2GB. -whatsapp bure -twitter buree -Na Facebook buree Unatumiwa popote, mda wowote kwa...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kwa wale wakazi wa mbezi ya kimara na sehemu nyingine kwa ujumla. Tunawatangazia course zifuatazo kwa bei nafuu sana. Computer Course, QT(Elimu ya Secondary kwa miaka miwili), Tuition kwa masomo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Vipo mbezi juu tankibovu viwili katika nyumba ya (L-shaped) ni vya nje si ndani.. vina tiles Safi Madirisha Mazur maji yapo na kwenye kiwanja kikubwa bila msongamano wa nyumba Contact 0689315582
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom