Mashine ya kuchimbia visima virefu

Mashine ya kuchimbia visima virefu

jose mjasiriamali

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2014
Posts
1,770
Reaction score
1,605
Wadau natumai ni wazima,
Naomba msaada wa namna ambavyo naweza kupata mashine ya kuchimbia visima virefu hadi 200Metre,bei yake, na matumizi ya mafuta (petrol/diesel), pamoja na specifications nyingine.
asanteni.
 
Unataka ya kununua au unataka ya kukodi?
 
Wadau natumai ni wazima,
Naomba msaada wa namna ambavyo naweza kupata mashine ya kuchimbia visima virefu hadi 200Metre,bei yake, na matumizi ya mafuta (petrol/diesel), pamoja na specifications nyingine.
asanteni.
Nakushauri utafute mfanyakazi wa hizo kampuni ambaye anaufahamu mzuri kuhusu hizo mashine mkae chini muelekezane kila kitu.
Siyo tuu specifications zake bali pia hata mzunguko wa biashara in case kama una deal tayari mezani ikiisha utafanyia nini hiyo mitambo.
Hii itatusaidia kujua return on that investment ambayo ndio itakufanya ufanye maamuzi ya kununua au kuacha.
 
Nakushauri utafute mfanyakazi wa hizo kampuni ambaye anaufahamu mzuri kuhusu hizo mashine mkae chini muelekezane kila kitu.
Siyo tuu specifications zake bali pia hata mzunguko wa biashara in case kama una deal tayari mezani ikiisha utafanyia nini hiyo mitambo.
Hii itatusaidia kujua return on that investment ambayo ndio itakufanya ufanye maamuzi ya kununua au kuacha.
Asante sana mkuu, nafuatilia nitarudisha mrejesho humu
 
Back
Top Bottom