Habarini wanandugu! Nauza simu aina ya Oppo used yenye features zifuatazo:
Model number A33f
Android version 5.1.1
Color Os version V2.1.0i
Processor - Qualcomm MSM8916 Quad -core 1.2 GHz
RAM...
Sifa iwe na 4WHEEL................
BODY KUBWA...........
Iwe imetumiwa kwa matumizi binafsi sio biashara...namba njano
ukileta leta na picha yake na specification zake tuma
uwe tayari niifanyie...
Eneo la hekari 53 lenye hati, liko bunju kialaka 1.8 km toka barabara ya bagamoyo kona ya kuingilia Lord Baden powell/Efatha seminary secondary school.
Eneo lina hati ya jumla na sasa liko kwenye...
Tunasuply frozen kiti moto kwa mwezi uwezo wetu wa kusuply kwa jumla tu kuanzi tan 25 hadi 250 kilo moja sh 6000/-
Kwa watu serious tu unipm kwa maswali yasiyo na kichwa wala miguu hayatajibiwa...
Wana JF habari zenu...
Wadau Nina wazo la Ku supply bidhaa yangu kwa watu wa supermarket yyoyote iliyoko Dar es salam .....
MTU yeyote anaefanyia kazi supermarket ilieko Dar el salaam naomba...
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta line hizo kwa mpendwa anayehitaji ujira mdogo kwa kazi hiyo. Sina pesa nyingi za kununua line hizo, nitafurahi zaidi kupata line hizi kwa majina...
inahitajika appartment ya kupanga iliyo juu katika ghorofa refu zuri lenye appartments za kisasa za vyumba vitatu au vinne vyenye AC.
****Si LAZIMA liwe chang'ombe***
hata ghorofa likiwa maeneo...
Fundi wa upepo wa magari napatika dar es salaam tabata matumbi pia nina spea zote zinazousu upepo na nyinginezo za magari makubwa(truck) ufundi wa uwakika na spea za uwakika karibu tabata matumbi...
Tunafuraha kukujulisha mteja wetu kuwa huduma zetu za solar ni bora sana na ni nafuu.
Tunafunga pia BACKUP ZA UMEME kwa mteja mwenye tanesco na haitaji kukatikiwa na umeme.
Solar water heater na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.