Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jipatie hii External HDD kwa Bei ya Kutupa. Size: 1000GB/1TB. Iko na 30TV Series Kali Sana. Bei: 200,000/-
0 Reactions
5 Replies
989 Views
Rejea kichwa cha habar hapo juu. Nyumba inapangishwa maeneo ya savei dk 5 kwa mguu tokea mliman city. Ina vyumba viwili jiko toilet sebule pia ina tiles. Haina uzio. Maji ya bomba yapo masaa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kwa yeyote atakayehitaji huduma ya fumigation au kama ana mtu,ofisi,hotel inayohitaji huduma ya fumigation tuwasiriane kwa simu namba 0685232010 tumfanyie hiyo kazi. Ni kazi tunayoimudu tena...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Wakuu, Nimeamua kuirelease Workstation yangu ya HP Pavilion: 12 RAM GB, i5, 1 Terabyte, TouchSreen. Kiukweli nimepiga nayo mamilioni sema ndo ivo kuna majanga yamenipata...sina budi kuipiga bei...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kichwa cha habar cha jieleza, Natoa huduma ya kupimiwa mashamba au viwanja kwa maeneo ya mwanza pamoja na mikoa ya karbu. Ushaur juu ya ardhi utapata. Pima ardhi yako pata hati miliki yako...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Make : Toyota Model : LITEACE NOAH Mileage : 100,000 km Engine size : 1990cc Fuel : Gasoline/Petrol Drive : Four wheels drive (4WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color ...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari. Fremu inapangishwa ipo kijitonyama kisiwani karibu na Salma Kikwete Secondary kodi ni 100,000/= kwa mwez inatakiwa ya miezi 6. Fremu ipo barabarani(lami) kabisa inafaha hata kwa jiko...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
General Information Nertwork 2G,3G SIM : Dual mini SIM Color: Black Cover: Plastic Display Size: 5.5 inches. Internal: 16GB RAM: 1GB OS Android 5.0.2 Lollipop Camera: Primary 13MP...
1 Reactions
3 Replies
976 Views
Macbook Pro 13inc unibody. Processor Intel core 2 duo 2.24Ghz Ram 4gb Hdd 500Gb Nvidia GeForce video adapter. 13inch LCD screen Pc is in Excellent condition and fully operational. Price Tsh...
1 Reactions
1 Replies
533 Views
Habari zenu. Nauza asali Bei Tshs 50000 (Lita 5), Tshs 100000 (Lita 10) na Tshs 200000 (Lita 20). Asali ya Mpanda - Katavi. Utasafirishiwa popote ulipo na utalipia unapopata Asali.
0 Reactions
4 Replies
921 Views
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Mwangaza Personality, Career and Talents Discovery Service Je unatamani na kupenda · Kutengeneza kikosi kazi bora na chenye ufanisi mzuri? · Kufahamu uwezo na udhaifu wako wa asilia? ·...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Natafuta mistubish bus Fuso ya mil 40 Iwe safi na hali nzuri kiujumla kwa ajili ya safari za mikoani, Kwa alienayo aniPM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chumba na Sebule Mjimwema Bei ni 80000 kwa mwezi, Kigamboni, ukishuka stendi ya mjimwema kabisa, atua 10 tuu kutoka kwenye lami !! Hatua 50 kutoka baharini,jirani na sunrise beach na south beach...
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Habari, Wanajamvi! Natafuta shule yenye kupokea maombi katikati ya mwaka. Binti Ni form 3. Boarding school yenye maadili. Ada include tuition fees, accommodation plus food charges kwa ujumla...
1 Reactions
2 Replies
707 Views
Habari wadau,natafuta kuku mitetea wa miezi 6,idadi itategemea na bei.
0 Reactions
1 Replies
737 Views
Habari ndugu, nauza Tangawizi nyekundu na nyeupe kutoka Sumbawanga nina zaidi ya Tani 60 nauza kuanzia Tani 1, mwenye kuhitaji anipigie simu namba 0717246284. Picha zinakataa lakini ninazo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SNL SOLAR LTD inakupatia suluhisho Kwa wewe mteja mwenye kitega uchumi kama stationary, duka, saloon, ufugaji kuku, au ofisi na unasumbuliwa na tatizo la kukatika kwa umeme na kukusababishia...
0 Reactions
189 Replies
44K Views
Nahitaji viti vya kunyolea,kiti kimoja cha kuoshea na basin lake. Ningependelea ningepata used sabab budget yangu sio kubwa sana kuweza kuafford vipya. Nicheki 0767525054
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Back
Top Bottom