Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza kiwanja changu kibaha. Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0786855280. Kiwanja kimepimwa
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natafuta Ofisi ya kupanga iwe sam nujoma road, ali hassan mwinyi mwisho morocco, cocacola kwanza road nk, ukubwa ni 20-30 sqmts, inaweza kuwa hata room moja kubwa au yenye partition au nyumba...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Nimekua nikinunua vifaranga kwa supplier huyu huyu kila siku ila mpaka kuku wanakuja kuuzwa, jumla ya vifaranga vilivyokufa inafikia 33 hadi 40. naona tatizo lipo kwa huyu supplier wa mda mrefu...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Samsung TABLET inauzwa display inch 8,ina ram gb 1 na rom gb 8, haitumii line, ina mwezi 1 tangu kuinunua bei 250,000
0 Reactions
9 Replies
2K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1118103/ KIWANJA CHA KUJENGA NURSERY, HOTEL, YARD KINAUZWA
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Kabati la biashara (Chips,Mgahawa) linauzwa. Vipimo; Urefu futi 3 Upana futi 3 Bei; 150,000 Mawasiliano; PM or 0627097420 Mahali; DSM (kimara).
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari wakuu. Kwa mahitaji ya software ambayo: 1.Ni rahisi kutumia 2.Ina Report za aina zote za IFRS 3.Haihitaji server(CLOUD) 4.Unaweza tumia aidha kwenye computer, simu, tablet au kote kwa...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Habari wakuu. Kwa mahitaji ya software ambayo: 1.Ni rahisi kutumia 2.Ina Report za aina zote za IFRS 3.Haihitaji server(CLOUD) 4.Unaweza tumia aidha kwenye computer, simu, tablet au kote kwa...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Howo dump truck (6*4) standard cab. type: inline, six cylinder, turbocharging and intercooling. WD615 engine with two valve, rear turbocharge. Transmission: HW series 10 gear, main and auxiliary...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Natafuta simu yenye nchi 4 iwe laini 1 isiwe na shida hata moja
0 Reactions
7 Replies
914 Views
Nina viwanja Kisemvule 15 Km kutoka Mbagala rangi tatu. Nauza ukubwa 100 kwa 50 futi bei 6.5ml, umeme upo maji yapo. Eneo ni tambarare na mchanga haununui. Kuna kingine vikindu kina matofali...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza 180000, 0755661541
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba anaefaham exchange rate ya viwango vya hela tafadhali anisaidie update za US DOLLAR na EURO please
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Hivi nikikupa 50000 na nokia lumia 525 nzima kabisa haina tatizo lolote. JE WEWE UTANIPA CM GANI? AU KITU GANI?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Gari sawa na mpyaaa imeendeshwa na mwanamama.. sababu ya kuuza ni ili kununua toleo la karibuni zaidi Land Rover Discovery 4 Year 2013 Fuel diesel Automatic 28000km Imelipiwa kila kitu...
6 Reactions
33 Replies
6K Views
Wakuu nimepata Kazi Masaki mwisho, sometime ntakuwa natoka very late. Kwa sasa, nipo Mbagala. Mwez wa kumi natarajia kuhama huku. Nikipata cha 30-50 sio mbaya. Ila ni lazima kiwe na umeme na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta kioo cha S3 mwenyenacho ani PM
0 Reactions
4 Replies
870 Views
Natafuta Mafundi wa kutengeneza mashinde mbalimbali za hospital kama x-ray, ultrasound, CT scanners, MRI. Piga 0756514644/0715514 644
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, nimeamua kuwa mjasiriamali wa kufuga kuku wa kisasa. sasa wameanza kutaga, soko linasumbua kidogo, mwezi uliopita mayai trey ilikuwa sh. 8000 hadi 8500 bei ya jumla sasa hivi ni sh. 6000...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kuna MTU mwenyekiti gari yenye no at list C au D pia aina ya gari Noah ,IST,Carina TI au vits na Stalet Toleo jipya engine iwe nzuri cont. 0766008007
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Back
Top Bottom