Wapendwa nipo maeneo ya dodoma napenda kufungua liblaly ya kuuza movie mbali mbali. Naombeni ushauli vitu vya kuzingatia kabla sija anzisha ,...............ushauli wako tafadhari..............
Apple's Ipad Mini A1455 for Sale
Size: 16GB
Ni used but in good condition
Unapata na Apple ID yangu
Nakaribisha offer zote kwanzia tsh. 360,000/=
Ni Wifi na Cellular(Inaingiza simcard)
Contacts...
Nina mradi wa ufugaji kuku maeneo ya mkuranga mkoa wa pwani. Ninahitaj kijana wa kusimamia project hiyo maana mabanda tayar yapo na mazingira ya ufugaji yapo sawa. Eneo ni kijijin ila maji uhakika...
Natafuta noah ya kukodi inahitajika kesho saa 5asubuhi hadi SAA 12.30 jioni kwa ajili ya shughuli za msiba, kutoka mbagala to temeke, na kurudi mbagala , MUHIMU TAREHE 3/10/2016 ,Nipigie 0762576878
Wakuu kwema?kwa mtu yoyote anayekuja mwanza,tunatoa huduma ya usafiri,bei zetu ni affordable,lakini sio self driving kwa kuwa ni mwanzo!karibuni sana,kwa maelezo zaidi please PM
Nina duka la vyakula na bidhaa nyingine mbalimbali,nahitaji accounting package kwa bei nafuu itakayoniwezesha kutunza kumbukumbu za biashara hii vizuri.Mwenye taarifa au mhusika tafadhali.
*TIBA LISHE TIBA LISHE*
Pata unga wa uji kwa ajili ya
* Ku balance sukari
* Kuongeza CD4
* Ku balance pressure
* vidonda vya tumbo
Kila package ni Tsh 6000 tu
Delivery kuanzia kilo mbili kwa...
Tunachora ramani za kisasa za nyumba kwa bei nafuu sana
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu/whatsapp +255 717 040837
AU +255 767 267664
au ingia hapa:-
www.ncd255.blogspot.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.