Ndugu wana jf,naomba kufahamu bei za viwanja ambavyo vimepimwa na cda na vina hati.rafiki yangu ananiuzia kiwanja block f ,miganga west area sqm 502 dodoma naomba kujuzwa bei halisi
Ndugu wapendwa habarin za mchana. Naelekea Dar wenyej tafadhar naomba mnielekeze hotel ntakayoweza fikia kwa hiz siku chache. Chumba kisizid 45. Asanten
1000watts
Smart
Full HD Up-scaling
Premium content
Wireless Audio Streaming via Bluetooth
USB Direct Recording & Playback
3D Playback
LG Apps
Wired(Ethernet)
External HDD Playback
price: 780,000...
Nyumba ipo Tegeta. Ina vyumba vitatu vya kulala, Master bed ni self container, Jiko la kisasa, choo na bafu vyote ni vya kisasa. Sebure kubwa pamoja na chumba cha kulia. Parking kubwa yenye uwezo...
Naomba msaada ndugu zangu simu yangu imeanguka na kuvunjika kioo nahitaji kubadilisha naombeni kama unafahamu alipo wakala wa LG hapa Dar niipeleke maana nimezunguka kariokoo bila mafanikio simu...
2GB RAM
16GB internal storage capacity
5.5 inches screen
Colour -black
2600 mAh Li-Ion
13 mp led flash back camera
5mp with led flash front camera
Ina warranty ya mwaka mmoja,imetumika miezi 4...
Wakuu mwenye kujua wapi napata mashine ya kitengeneza sabuni za unga na miche na maji anipe utaratibu wakuu au kama kuna muuzaji wa hizo mashine anipigie 0754459572
Massage ni muhimu sana kama vile gari inavyo fanyiwa services na mwili pia una paswa kufanyiwa services ili kuweka katika hali nzuri muda wote wa shugli zako za kimaisha
Massage itakufanya uepuke...
FOR SALE/ NYUMBA INAUZWA TSH.75 MILLIONS
Iyo nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, sitting room, dinning room, kitchen na stoo ya nje na choo cha ziada cha nje.
Eneo la kiwanja chake ni Futi 50...
Achana na iPhone, Note 7 na Huawei, Phantom 6 kutoka Tecno itafunika zote kwa muundo wake, camera 21MP, processor 16GB ROM, GB kibao na muonekano mwembamba wa 4.69mm kuliko simu yoyote uliyowahi...
Infinity alluminium pvc and welding, tunatengeneza madirisha, milango, makabati, partitions na shelves za alluminium pvc na vioo kwa bei nafuu.
ofisi zetu ziko tegeta kwa ndevu ila tutakufikia...
Used
20.7 megapixel back camera
5 megapixel front camera
Magnetic charge na unaweza weka pad controller
16 gb internal memory
NFC ,screen Mirroring,mirrorlink support.
ram 3gb
Processor 2.5 ghz...
Nyumba inauzwa ipo kijichi ina vyumba 3 vya kulala darning choo cha nje sebule kubwa fansi na geti kubwa kuna bomba la maji na eneo zur la limebaki bei yake ni 65ml mazungumzo yapo kama mtu yupo...
Je unaipenda afya yako ? Kama jibu ndio basi kampuni yako yenye bidhaa zilizothibitishwa kimataifa kwa ubora na kuwatendea wengi Makubw na maajabu kwa kuwaponya magonjwa sugu, inakuletea bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.