Looking for a cheap laptop, natafuta laptop aina ya Lenovo yenye bei ya chini iwe ina support GTA V, Graphics Card nzuri na iwe fast kwenye internet na iwe Brand New nitanunulia wapi?
Habari wanajukwaa!!!
Natafuta PS2, PS3 & PS4 (used) za mtumba,
Pamoja na CD:
Fifa 16/17
Kwa bei "NAFUU" Sihitaji mpya.... nataka used ambazo hazina TATIZO, lolote kabisa!!!
Kam mtu anazo kati...
Mi nina usafiri wangu aina ya boda boda, nipo dar es salaam Mwenye biashara ya nyama au samaki naomba tuelewane niweze niwe nakusambazia kwa wateja wako malipo ya usafir ni maelewano namba yangu...
Habari wakuu kama nilivyosema mdogo wangu anakojoa kitandani mpaka leo hii yupo form 1 tumempeleka boarding lakini tatizo bado lipo mpaka leo hii hadi walimu wanataka kumrudisha nyumbani
Habari, nauza shamba langu lipo mwarusembe kijiji cha mkiu ni heka 120 kila heka ni 700,000. Naanza kukata kuanzia heka tano, karibuni. Kwa mawasiliano 0627748402
Ni chumba na sebule self. Nililipia miezi minne ila nimehamishwa kikazi nataka kuondoka. Utanipa jumla 350,000/= kwa miezi minne ambayo nilishalipia.
Kama unahitaji nicheck 0687 418 218.
Kama kicha cha Habari kinavyojieleza: nauza kuku wa mayai bei 12000 tuu.
Nipo maeneo ya kitunda (Dar es salaam)
Kwa mawasiliano namba 0784860715 au 0719158510
Karibu!
Habar wakuu natafuta kiwanja cha kujrnga Nyumba ya vyumba vinne, chooo bafu,sebule, dining, pia pabaki nafasi ya paking na garden bajey yangu ni mil moja na nusu maeneo nyegez,buhongwa igoma,na...
naomba kwa anaejua ukulima wa uyoga nahitaji msaada kwa hili
natamani sana ukulima wa zao la uyoga napenda iwe ajira yangu kupitia uyoga sababu huku nakotoka vijana wamejikita zaidi kwa ufugaji na...
Habar wapendwa.nauza mikanda ya kupunguza tumbo ambayo ni ya mtumba.wiki moja tumbo halipo.imewasaidia watu weng sana hasa wamama waliotoka kujifungua.naleta popote ulipo.bei ni 25000.napatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.