Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Looking for a cheap laptop, natafuta laptop aina ya Lenovo yenye bei ya chini iwe ina support GTA V, Graphics Card nzuri na iwe fast kwenye internet na iwe Brand New nitanunulia wapi?
0 Reactions
67 Replies
8K Views
Kama unatafuta Cartoon zozote tuwasiliane. PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa!!! Natafuta PS2, PS3 & PS4 (used) za mtumba, Pamoja na CD: Fifa 16/17 Kwa bei "NAFUU" Sihitaji mpya.... nataka used ambazo hazina TATIZO, lolote kabisa!!! Kam mtu anazo kati...
0 Reactions
2 Replies
866 Views
Mi nina usafiri wangu aina ya boda boda, nipo dar es salaam Mwenye biashara ya nyama au samaki naomba tuelewane niweze niwe nakusambazia kwa wateja wako malipo ya usafir ni maelewano namba yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu kama nilivyosema mdogo wangu anakojoa kitandani mpaka leo hii yupo form 1 tumempeleka boarding lakini tatizo bado lipo mpaka leo hii hadi walimu wanataka kumrudisha nyumbani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, nauza shamba langu lipo mwarusembe kijiji cha mkiu ni heka 120 kila heka ni 700,000. Naanza kukata kuanzia heka tano, karibuni. Kwa mawasiliano 0627748402
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni chumba na sebule self. Nililipia miezi minne ila nimehamishwa kikazi nataka kuondoka. Utanipa jumla 350,000/= kwa miezi minne ambayo nilishalipia. Kama unahitaji nicheck 0687 418 218.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuku wa kisasa aina ya layers wanauzwa bei Tsh.12000/= tuu Kwa mawasiliano namba 0784860715 au 0719158510 Karibu!
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Kama kicha cha Habari kinavyojieleza: nauza kuku wa mayai bei 12000 tuu. Nipo maeneo ya kitunda (Dar es salaam) Kwa mawasiliano namba 0784860715 au 0719158510 Karibu!
1 Reactions
1 Replies
793 Views
Habar wakuu natafuta kiwanja cha kujrnga Nyumba ya vyumba vinne, chooo bafu,sebule, dining, pia pabaki nafasi ya paking na garden bajey yangu ni mil moja na nusu maeneo nyegez,buhongwa igoma,na...
0 Reactions
4 Replies
990 Views
Naomba msaada wa jinsi ya ku-book ndege aina ya fast jet
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ina disc gb 200 ram 2gb dell 0715825530 nipo dar
0 Reactions
21 Replies
5K Views
naomba kwa anaejua ukulima wa uyoga nahitaji msaada kwa hili natamani sana ukulima wa zao la uyoga napenda iwe ajira yangu kupitia uyoga sababu huku nakotoka vijana wamejikita zaidi kwa ufugaji na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kinyerezi 600square meter kwa sh.15million,umbali kutoka barabara kuu ni nusu kilomita,karibuni sana tuwasiliane 0673269820.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza Lumia ipo fresh haina shida kioo 4.7" bei 160000 maongezi kidogo yapo
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Nahitaji printer HP LaserJet 1100...hata ikiwa used...
1 Reactions
4 Replies
751 Views
Habar wapendwa.nauza mikanda ya kupunguza tumbo ambayo ni ya mtumba.wiki moja tumbo halipo.imewasaidia watu weng sana hasa wamama waliotoka kujifungua.naleta popote ulipo.bei ni 25000.napatikana...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Natafuta meza ya Ofisini, iwe mpya au used sawa. Budget yangu haizidi 120,000/=. Nipo Dar. # 0684 14 14 76
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Back
Top Bottom