Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Njia ya kusajili kampuni ya auctious kama majembe,Marcas na nyingine mwenye uzoefu ni hitaji la haraka sana 0754459572
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Mambo vip wadau! Kuna cheti ambacho kilisahaulika hapa Ofisini kwetu hivyo naomba kama kuna ambaye anamfahamu mtu huyu anijuze. JINA: David Abunery Kimaro CHETI CHA: DEGREE OF BACHELOR OF...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Simu tajwa hapo juu zinauzwa. Ni mpya na zina vifaa vyake vyote. Bei ni S3-290000 wakati S 4-380000 maelewano yapo, karibuni sana. Nipigie au whatsapp napatikana dsm kwa namba 0713806766.
0 Reactions
5 Replies
842 Views
Naweka Windows 7 na 8 kwa bei Chee...Tsh.10,000 pia Antivirus Kiboko Tsh. 10,000 Mobile. 0655659115
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale wanaohitaji mianzi kwa ajili ya bamboo furniture tafadhali tuwasiliane.. 0655957715
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa wanaJF mlokuwa mkiniuliza kuhusu namna ya kupata mtambo wa sola kwa mkopo; naomba niwapatie maelezo yenye ufafanuzi wa kina hapa chini. ANGAZA MAISHA YAKO, MILIKI MTAMBO WA SOLA...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Nauza switch za cooker kwa bei ya jumla 12,000. Zipo zanzibar, kutoka uk
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Banana chips/clips inapatikana Nzovwe -Mbeya follow us
1 Reactions
1 Replies
624 Views
Kwa mfugaji wa kuku wa kienyeji aliyepo songea mjini nahitaji kununua tetea 80 na jogoo 8 kwa ajili ya kuwafuga, kama unao tafadhali wasiliana nami tufanye biashara hata kama unao chini ya hao...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Mashinine mpya yenye pressure kubwa ya kuoshea magari kwa bei chee. Inatumia petrol. Inaitwa JD.Bei ni Tsh.750,000/ kubwa na ndogo, Tsh.550,000/ Kwa mawasiliano piga 0773 944 944
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu mezani kwangu hapa kuna tablet (used) ni Samsung tab2, 10.1 version Silver in colour, Internal storage ni 16Gb pia ina memory card ya 14Gb( utapewa free) Inapiga na kupokea simu bado ina...
1 Reactions
2 Replies
952 Views
Simu ina 4G ina camera 8mp 2mp 2gb ram 16gb na haina shida yoyote kwa 140000
0 Reactions
5 Replies
924 Views
Wakuu hodi ijumaa ya leo....leo nina vifaa vya aina Tatu yaani 1. Tv chogo kampuni ya Goodmans 2. Dinner set 3. Tablet Samsung 10.1(used yenye hali nzuri bado) _Ina piga simu(ina sehemu ya...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Nimenunua vitu vingine so hivi nauza kwa anayehitaji tuwasiliane simu No. 0718 295 182 mahali: kigamboni(Dar) Flat Screen 23'' + king'amuzi Tsh. Laki 3 Godoro 10 inch (5*6) Tsh. Laki 2 kitanda...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu,natafuta fundi sim,nimuuzie sim yangu iphone 5s, Simu inatatizo kidogo ambalo fundi ataweza kulirekebisha. Niko dar,kwa mawasiliano tuwasiliane pm tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Game mpya inahitaji laki tatu. 0714363793 biashra
0 Reactions
3 Replies
761 Views
Habari za Leo!, One Realtor Co. ni kampuni inayotoa huduma zinazohusiana na mali zisizohamishika (Real Estate) Jijini Dar es Salaam na mikoa Jirani. Tunapenda Kukutaarifu kwamba, kutokana na...
1 Reactions
3 Replies
974 Views
Kiwanja kipo kinyerezi mita 20 kutoka barabara ya lami inayoelekea ktk mitambo ya umeme wa gesi. Ukubwa wake ni m40 kwa 35. Bei Tshs mil 25 na mazungumzo yapo. Simu 0715/0754/0783 472414
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20. Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo. Piga simu 0754/0715 472414
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom