Katika maendeleo ya sayansi na teknolojia, kampuni inayotengeneza simu za TECNO sasa imekuja kitofauti na simu Phantom 6 ambayo ndio toleo jipya kabisa. Simu hii imekuja na vitu vingi vipya...
Kampuni ya unilever courier services inakuletea parcels,document, vipeperushi,magazeti au mzingo wowote hadi nyumbani.gharama ni nafuu kabisa, unaweza kutuagiza pia tuwapelekee wateja wako...
Kampuni ya unilever courier services inakuletea parcels,document, vipeperushi,magazeti au mzingo wowote hadi nyumbani.gharama ni nafuu kabisa, unaweza kutuagiza pia tuwapelekee wateja wako...
WEST UPANGA - MINDU STREET - IS A BEAUTIFUL AREA FOR INVESTING.
1350 SQM
PRICE : USD 1.650M @Negotiable.
For more Information, Please PM...
No time wasters Please....!!!
Karibuni!!
Vyumba viwili, Kimoja masta, Sebule, Jiko na Choo cha wageni nje.
Luku yake, Parking ipo, Fensi na geti na Maji ya dawasco ndani.
Kodi laki3"Mwezi, Maelewano yapo.
Kodi ya Miezi6 inatakiwa...
HOUSE TOLET
SUMMARY
Location: Dar es salaam, Mbezibeach
Asking Price: Tshs 300000
Bedrooms: 2
Bathrooms: 2
PROPERTY DESCRIPTION
A lovely house of two bedrooms, one en-suite, kitchen, living...
Habari zenu wadau, poleni na majukumu, kiwanja kinauzwa mkoani Dodoma maeneo ya Msalato, kina ukubwa wa 20 kwa 45, huduma zote muhimu kama umeme, maji, usafiri zinapatikana kwa urahisi...
Ni model aina ya DENYO 125,lina uwezo wa kVA 100,linatumia diesel na ni sound proof,halina tatzo lolote lile,bei yake ni milion 25 na maongez kdogo yapo.piga 0712567954.kwa maelezo zaidi
Eti wanasema ukiagiza Phantom6 yenye ukubwa wa ROM 32GB,RAM 3GB,kamera mbili za nyuma zenye 13MP na 5MP,muonekano wa kuvutia pamoja na uwezo wake wa ajabu wa kuingiza chaji kwa haraka unapewa...
Habari zenu wadau
Nina shida na rimont controller ya philips model no. 26HF5444/10 original yenye menu zote ninahitaji sana hiyo aina ya rimont yeyote ambae anayo tuwasiliane kwa namba hii...
Kama heading inavyosema,tupo mbezi louis tunapokea oda za vifaranga kienyeji chotara wa siku moja hadi 7 kwa bei ya sh 2000 kifaranga kimoja, na bei ya sh 10,000 kwa tray km unataka kutotolesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.