Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau naombe nahitaji miche ya miembe iliyoboreshwa nahitaji kupanda bagamoyo na mkuranga. nataka kampuni mahususi sio wale wa pembezon mwa barabara wanauza miche isiyo na ubora, asanten
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Natafuta simu janja kali..bajeti yangu 200k kama unayo Tecno c8. Ni pm tufanye biashara..
0 Reactions
3 Replies
940 Views
tecno m 3 inauzwa ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote bei ni nafuu sana TSH 50000 mawasiliano 0756817931 nipo gongo la mboto dar es salaam
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa ekeri 4 (squire meter 16690) kinauzwa kiko kunduchi mtongani kinapakana na bahari ya hindi. bei ni dola 1.8 mil($1.8 MIL) Kimepimwa na kina hati na kiko ndani ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi. Ukubwa ni 20 kwa 20. Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa) Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
MODEL YA MWAKA 2000 IMETEMBEA KILOMITA 52000 4 CYLINDER BEI YA KUUZA 15.5 MILION KWA WALE WATAKAJI AMBAO NI SERIOUS TUWASILIANE KUPITIA # 0715591141..DSM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MacBook Pro 13 inch Core i5 RAM 4GB HDD 500GB Intel HD Graphics 4000 1536MB Processor Speed 2.5GHz OS X EL Capitan Version 10.11.3 Clean Condition Location: Dar es salaam PRICE: 1.36M...
0 Reactions
6 Replies
913 Views
Iphone 7gold.32gb. 2.5 million.- iphone 6s gold.1.2million And iphone 6s silver. 1 million all for sale call now. @ 0713836150 or wats app.
0 Reactions
0 Replies
460 Views
Kwa mtu yyte mwenye taarfa yyte anisaidie nahitaj chumba maeneo ya magomeni mapipa... Najiandaa kujiunga na chuo cha D I T hivyo nilihitaj huduma hiyo ya makaazi maeneo ya mapipa t...ahsanteni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari. Tunapokea ORDERS kwaajili ya Tractor Kongwe 'original' aina ya MASSEY FERGUSON 1080. Zitakazowasili Nchini December 2016.- *Zitashushiwa Zanzibar. Ni diesel engine, zenye uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Samsung galaxy tab 3 lite sm-t110 inauzwa pamoja na charger yake.. imetumika miez sita haina tatizo lolote.. bei 350,000... pm kwa serious buyer..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAITAJI CHUMBA CHA KUPANGA MAENEO YA SAABA SABA AU KWA AZIZI ALI AU MTONGANI AU UFUNDI BEI 40000 AU 50000 LAKINI MWENYE NYUMBA ANISAIDIE NMPATIE ELA NUSU BAADA MWEZI MMOJA NAMALIZIA PESA YAKO KAMA...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
AFYA YA NGOZI (CHUNUSI). Kuna baadhi ya watu wenye changamoto ya CHUNUSI, hazitaki kuisha katika ngozi zao...hii huweza kutokana na kwamba tatizo liko ndani ya mwili ila wewe unatumia bidhaa za...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Natafuta gari aina ya noah kwa milioni saba nitatoa milioni tatu na nusu cash na baada ya miezi sita nitamalizia milioni tatu na nusu. Mwenye nayo wasiliana nami kupitia +255753868912
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wana jf nauza nokia lumia 525 ipo katika hali nzuri Simu ina gb 7 za ndani pia uta pata na ofa ya memory ya 2 gb. Ina kreki kido kwenye kioo ila ukitaka na kioo kipya unabadilishiwa...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Watu wengi wenye nyumba zenye madirisha ya alluminium wanapata tatizo la mbu kujaa ndani. Hili linatokana na sababu zifuatazo. 1. Nyavu kuchoka na na kuwa na matundu makubwa. 2. Mafundi kutoweka...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Natafuta smartphone ya shilingi elfu hamsini please mwenye anayo ani PM
1 Reactions
6 Replies
852 Views
Natafuta Microsoft wireless keyboard and mouse plzz nichek kama unazo. Contact 0719210905
0 Reactions
0 Replies
485 Views
Kutoka mbeya sisi ni wasambazaji wa bidhaa mbalimbali kama: mchele halisi wa kyela na kamsamba kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20 maharage kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20 unga wa sembe na dona...
0 Reactions
5 Replies
956 Views
Back
Top Bottom