Godoro la Dodoma

Godoro la Dodoma

Depretty

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
248
Reaction score
99
habari..naitaji godoro la dodoma foam inch 8-10...kwa bei ya inch 8(120,000-130,000)inch 10-150,000...
wapi naweza nikapata kwa bei hiyo???
Napatikana tabata kinyerez.z
shukran
 
nenda kiwandani kwao pale mikocheni jirani na walipokuwa majembe
 
Mimi ninalo used maana kwa bei hyo jipya hauwezi kulipata.
 
Hilo kwa vyo vyote litakuwa ni "rejet" ndio maana likapelekwa Keko kuuzwa kwa mafundi wa sofa. Pole!
 
ww acha ubwege hadi godoro unaulizia humu hilo la mwanzo ulilokuanalo ulilipata humu nenda supermarket yapo
 
Hilo kwa vyo vyote litakuwa ni "rejet" ndio maana likapelekwa Keko kuuzwa kwa mafundi wa sofa. Pole!
wajinga ndo waliwao, ulimbukeni wa kudhani vitu vya bei kubwa ndo orijino unakusumbua ndo mana mnapigwa kekundu kila siku, nenda ile depo kaiangalie jinsi ilivyo kubwa ka kiwanda na bei za magodoro zimebandikwa na risiti ya tra unapewa na yana alama zote za ubora, ina maana tbs hapo hawapajui hadi waache bidhaa feki nyingi kiasi hicho ziuzwe hadharani?, na hapo ndo yanaposafirishwa kwenda mikoani, endelea kwenda kununua orcadeco wenzio tunathamini kila thumni tunayotoa mifukoni mwetu.
 
Back
Top Bottom