Pata hapa walimu wa masomo haya.

Pata hapa walimu wa masomo haya.

mkubhi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
2,216
Reaction score
3,319
BAADA YA KUONA AJIRA ZA SERIKALI HAZIAMINIKI , TUMEAMUA KUVUA GAMBA NA KUVAA GWANDA KWA AJILI YA KUWA TAYARI KUFANYA KAZI MAHALI POPOTE TANZANIA!!!

SISI KAMA VIJANA WENYE NGUVU NA UWEZO WA KULITUMIKIA TAIFA TUNAUWEZO WA KUFUNDISHA MASOMO HAYA KUANZIA KINDAGATE MPAKA CHUO KIKUU...

1. PHYSICS
2. MATHEMATICS
3. GEOGRAPHY
4. HISTORY
5. KISWAHILI

Tunawaombeni watakapo hitajika walimu/mwalimu wa masomo hayo wakati wowote kuanzia sasa tuko tayari

MAJINA YA WALIMU

1. ELIAS KIBI - Mathematics and
Economics(Degree)
(0746269580 & 0756650100)

2. ABDULLY KISAKA - mathematics and
Physics ( Degree)
(0716600198)


3. TUMAINI MTUI- Mathematics &
Geography(Degree)
(0759319009)

4.VICENTY ANTONY- Geography and
History (Degree)
(0762023302)

5. SILVIA HILARY - kiswahili (Degree)
(0757927023)


Nb.
Tafadhari tutarifu popote pale mwalimu atakapo kuwa anahitajika wa masomo hayo

Tunatanguliza shukrani.
 
BAADA YA KUONA AJIRA ZA SERIKALI HAZIAMINIKI , TUMEAMUA KUVUA GAMBA NA KUVAA GWANDA KWA AJILI YA KUWA TAYARI KUFANYA KAZI MAHALI POPOTE TANZANIA!!!

SISI KAMA VIJANA WENYE NGUVU NA UWEZO WA KULITUMIKIA TAIFA TUNAUWEZO WA KUFUNDISHA MASOMO HAYA KUANZIA KINDAGATE MPAKA CHUO KIKUU...

1. PHYSICS
2. MATHEMATICS
3. GEOGRAPHY
4. HISTORY
5. KISWAHILI

Tunawaombeni watakapo hitajika walimu/mwalimu wa masomo hayo wakati wowote kuanzia sasa tuko tayari

MAJINA YA WALIMU

1. ELIAS KIBI - Mathematics and
Economics(Degree)
(0746269580 & 0756650100)

2. ABDULLY KISAKA - mathematics and
Physics ( Degree)
(0716600198)


3. TUMAINI MTUI- Mathematics &
Geography(Degree)
(0759319009)

4.VICENTY ANTONY- Geography and
History (Degree)
(0762023302)

5. SILVIA HILARY - kiswahili (Degree)
(0757927023)


Nb.
Tafadhari tutarifu popote pale mwalimu atakapo kuwa anahitajika wa masomo hayo

Tunatanguliza shukrani.
Serikali ndo mwajiri mama, na ndo mkunga. Mmeungana kutoa huduma sawa, lkn mmekosea kumbeza mkunga kuwa haaminiki.
Haya, akiwabana kuwa pamoja nakujiajiri kwenu mnatakiwa msajiriwe, atakayewasajiri nani wakati mmembeza !!!??

Aidha kuna ka mbinu nitawapa ili mpate wanafunzi kibao, mkitaka.
Japo mie ni std 7 tu.
0786187408
 
Haya sasa, unaona vifaa vinazidi kuonaka !? Hapo lazima mtatengeneza kitu nikiite Sayansiolojia.
 
Back
Top Bottom