Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara mwanamtoti Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani.
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji (maji sio ya chumvi)...
1. FIELDS OF GREEN
ni aina tofauti tofauti ya mbogamboga za majani ambazo zitasaidia kubalance kiwango cha sukari,kujenga damu, na kusaidia pia kwa wale wenye shida ya kutopata choo kwa urahisi...
Habari, sitaandika details nyingi ila tunaweza tukawasiliana kwa maelezo Zaidi kupitia namba ya simu ntakayoiacha hapa.
ki msingi natafuta partner wa kufanya nae biashara, na katika partnership...
Pikipiki tajwa hapo inauzwa na ipo katika hali ya usalama kbisa nkimaanisha n mpya kbsa ina miez 4 haina tatizo lolote lile imetembea km 10,522 matairi bado ni mapya kbsaa,kingine kikubwa kuhus...
Waheshimiwa naomba mwongozo nataka kununua machine ya kutengeneza bisi hivyo nataka kujua
√Changamoto zake
√Faida yake
√ Maintenance yake ikoje
Naomba msaada
Kuna kiwanja kinauzwa kipo Mbezi Msakuzi, mazingira ni tambarare, umeme na maji ya Uhakika na yapo.
Urefu 40 * 20
40*16
Bei poa kulingana na hali ilivyo ya maisha
Mil. 9
Mawasiliano...
Nauza Samsung Galaxy A5 clean..
No single scratch..
One week used..
Natoa simu tuu sitoi accessories ingine...
Bei 400,000..
Seriously buyers contact me 0625690081
Nina kiwanja changu kiko Mwanza Nyegezi,malimbe nyuma kidogo ya St.Augustine Univerisity kina 20*30 mtrs kimepimwa ila sijafuatilia hati.Any serious buyer anaweza kuni inbox au kunipigia kwa 0752...
Habarini za Muda huu wana JF.
Kwa majina naitwa Hamis Mushi. Mkazi wa Moshi Mkoani kilimanjaro Tanzania.
Napenda kuuandika uzi hui kwa suala la kushirikishana biashara ya mtandao ambayo ina...
Nyumba kubwa yenye vyumba 2 vya kulala inauzwa Mbezi Luis,kimoja ni master na kimoja ni cha kawaida,ina sitting room,dinning,jiko,choo na bafu ndani,pia ina garage ya gari iliounganika na...
Wakuu wa nchi habari za mihangaiko .Tuna machine za kuchimba visima vya maji .tunatumia machine za kisasa kwa anayehitaji huduma hii please tuwasiliane please.
TANGAZO
“Jukwaa la Mwangaza kwa Vijana” (Youth Enlightment Forum-YEF) linawakaribisha vijana wote wanaopenda kujiunga na harakati ya kudai Katiba Mpya. Jukwaa litaandaa ziara kwenda mikoa...
Pata taarifa zote kuhusu Mh Edward Lowassa popote atakapotajwa kupitia application ya Android kwenye simu yako ya mkononi. ‪#‎MaamuziNaMatumainiMapya‬...
JE WEWE UNATOA HARUFU MBAYA SANA MDOMONI MWAKO
AU UNAMFAHAMU MTU MWENYE MATATIZO YA MENO.
USISUBILI MPAKA TATIZO LIWE KUBWA
FOREVER BRIGHT TOOTHGEL the best product kwaajili yameno na...
Habari wana JF,
Napendaa kuwataarifu watu wote ofisi yangu(netset co.ltd) inatoa huduma za web to mobile sms (professional sms). Huduma hii itakuwezesha wewe mmiliki wa biashara yako kuwafikia...
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bagamoyo-Kingani,vipo vingi na vinapatikana kwa bei nafuu kabisa.
kama wahitaji mcheki huyu mtu kwa;
Bei ni tshs.10000 kwa square meter 1.
simu namba 0754913664
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.