Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 &...
Je Wewe Ni
Mfanyabiasha?
Mjasiliamali?
Mtaalamu/fundi?
Unauza Kitu/bidhaa Fulani?
Tangaza Katika Blog Yetu Yenye Viewers Zaidi Ya 3000 kwa siku katika kipindi hiki cha mwishoni mwa mwaka kwa tsh...
Je una uhitaji wa ANDIKO gani? karibu tujadili, tunaandaa ANDIKO lolote katika nyanja za uchumi, biashara, jamii, elimu ya juu n.k
ANDIKO ni kama mwongozo na Nyenzo mhimu katika kufanikisha...
Ipo kwenye hali Nzuri..
location-Kibamba
Picha imegoma ku upload hapa JF,Kwa njia ya whatsap unaweza tumiwa.
Sh,500000 tu.
0674312408
galaxy tab E
model number-Sm_T561
Android version...
Wadau,
Nahitaji mbolea ya kuku, preferably ile ambayo imeoza (imekaa muda mrefu baada ya banda kusafishwa).
Nipo Dar.
Kama mbolea ipo maeneo ya kama unatoka nje ya Dar kama vile Mbagala...
Chumba,sebule na choo cha nje utakacho tumia peke yako ushei na wapangaji wengine pia una sehemu yako pekee ya kuanika nguo. Eneo Manzese Midizini TipTop,kodi kwa mwezi 130,000. Mawasiliano +255...
Habari zenu wana JF... Ninauza korosho kilo moja kwa sh 3000 nina kilo 200. Nipo Dar es salaam, korosho zipo wilaya ya mkuranga na free delivery kwa dar es salaam. Kwa mteja aliye serious ani DM
PUREWELL(water filter) ni kifaa kizuri sana kwa ajili ya kusafishia maji na kufanya yawe safi na salama.
Hautakuwa na haja ya kuchemsha tena maji.
Kifaa hiki pia kinatibu SI kusafisha tu minyoo ya...
Wadau mimi ni mtaalamu wa kudesign websites na mitandao mwingine kulingana na mahitaji yako. Kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane 0687535650, Bei ni kuanzia 250000 unapata website yako safi kabisa.
nawasalimu wa wakuu!!!!
kwa anae uza dry za mkono na za kawaida zile za saloon ya kike..
naomba mnitajie bei zenu ikiwezekana na pc kabisaa nashida nazo.
ikumbukwe pesa yangu ni fupi na kifaa...
Kwa mtu yeyote anayemiliki ghorofa la kuanzia floor mbili kwa matumizi ya ofisi ndani ya 'jiji' la Bukoba tutafutane.
Jengo hilo liwe ni jipya na la kisasa kabisa...
Liwe na hati,
Liwe halina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.