Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nimeitumia mwezi mmoja inakaa na chaji vizuri inachaji simu hadi 100%full. Bei elfu 30,000 nipo dar simu 0718229905
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jamani limepita juma moja tu, tangu nilipo semea smell mbya ya itakanayo na mgegedano, kwa wkaz wa sinza na wapita njia, nilisema wazi kuwa yawzekana sinz get zake nyingi hazina maji, sasa hii...
2 Reactions
3 Replies
974 Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili. Rejea kichwa cha habari hapo juu, nina haja na bluetooth speaker nzuri yenye mziki mnene ambao upo clear masikioni, inayoshabihiana na device mbali mbali kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Whatsapp me 068504443
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones. Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Natafuta mafundi wa kuchora wallpaper kwenye sakafu kama unaweza rusha picha ya wallpaper zako ntakupigia
1 Reactions
0 Replies
920 Views
Inapatikana tegeta karibu na barabara ya kwenda twiga . . Ina hati.. vyumba vitatu, kimoja master,, sebule kubwa, dining, jiko, public toilet, na uwanja mkubwa nje kama inavyoonekana.. Ipo...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
inahtajika toyota ist,raum au spacio,iwe kwenye good condition na haidaiwi.Nina cash hata sasa hv, nichek 0628785275
0 Reactions
11 Replies
4K Views
bajet 7m watsap 0715140001
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Habari wana jf samahani nlikua nataka kuanza biashara ya nguo za kike za mitumba naomba msaada au hata ushauri ni sehemu gani kwa hapa dar nnapoweza pata mitumba mizur ya kike grade 1
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Martin ds king ana toa ofa ya nguo za kacha kwale wateja wakwanza ambao wata wai watatengenezewa nguo grade A nikimahaanisha nguo yenye kwarti ya yuu kabisa na wale watao fata watono wata pata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni hapa Iringa mjini ,naomba anaejua au Dalali ,nahuitaki chumba na sebule (self ) .isiwe mbali Sana na mjini .
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa wale wanao penda kwenda na wakati katika maisha yao una weza kuungana na martin ds king kwa fashion kali za kacha pia na Disgn nguo za sendoff zakike na zakiume wakubwa kwa wadogo pia una weza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Warrant ya mwaka 1 ph,antom 6 hiyoooo 0653551607 Nipigie au nipiem utumiwe popote Tanzania Malipo ni baada ya kupokea mzigo , na kuukagua.
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Ipo kibamba Call; 0622 103 710
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Kutoka Haya ndio maujanja ya kutumia camera mbili kwenye Tecno Phantom 6 | Bongo5.com Habari ndio hii…kama ulikuwa hujasikia, Phantom 6 inakuja na kamera mbili za ukweli na wengi bado...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wanajf Natafuta kiwanja maeneo ya boko, Bunju, madale na mbweni.Nataka kilichopimwa tayari na kama kina hati ititakuwa vizuri zaidi. Mwenye nacho andika na bei kabisa na ukubwa gani.
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Tunatengeneza websites (tovuti) BURE Pia domain registration BURE kwa kila mteja wa web hosting kuptia kampuni yetu. Bei ya ku Host website kwa mwezi ni Tsh 9,000/= Present your business online...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, kwa anayefahamu tafadhali nijulishe wapi naweza nunua mashine za kuosha vyombo vya kulia chakula (dish washers) nimepita maeneo kadhaa sijazipa. Kwa anayejua anieleze ukubwa wa mashine na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hp Hard disc GB 500 Ram GB 2 Inatatizo la display kubadilisha ef 80
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom