maji maref
Member
- Nov 18, 2016
- 63
- 16
Wana jukwaa habarini,
Juzi juzi nilieka advert ya kuuza sim humu JF, basi wakatokea watu waka ni PM na mmoja wao alikua anatumia username Deimos, basi akaniambia yupo Tabora na yupo interested na biashara hiyo basi tukaanza mawasiliano akaomba nimtumie then malipo baada ya kuukagua (hapa ndipo nilipoaribu), basi nikajipinda kumtumia maana gharama za ulipaji zilikuwa kwake then alinitumia picha za id zake yani card ya bank, kadi ya kura.
Kitambulisho cha mfanyakazi na picha zake pia then navyoona anatoaga hoja zenye akili humu JF mimi nkamwamini lakini sasa ameshapata simu namwambia anilipe simu hapokei, Whatsapp kaniblok na number yake ni 0765455013 alijitambulisha kwa majina yake halisi.
Nifanyeje jamani? Kwa sababu niliuza hivyo nipate ata ada ya mdogo wangu but kanitapeli sijui nianzie wapi.. Yaani naona kama ule mziki wa harmonize "matatizo" unanilenga mie.
=======
Updated: Nimetaka kuweka hizo ID na picha ila ninahofia endapo sio yeye nitakua na kosa la kuchafua mtu mitandaoni na mwishowe hilo kosa litanitafuna mimi nipate matatizo mengine.
Juzi juzi nilieka advert ya kuuza sim humu JF, basi wakatokea watu waka ni PM na mmoja wao alikua anatumia username Deimos, basi akaniambia yupo Tabora na yupo interested na biashara hiyo basi tukaanza mawasiliano akaomba nimtumie then malipo baada ya kuukagua (hapa ndipo nilipoaribu), basi nikajipinda kumtumia maana gharama za ulipaji zilikuwa kwake then alinitumia picha za id zake yani card ya bank, kadi ya kura.
Kitambulisho cha mfanyakazi na picha zake pia then navyoona anatoaga hoja zenye akili humu JF mimi nkamwamini lakini sasa ameshapata simu namwambia anilipe simu hapokei, Whatsapp kaniblok na number yake ni 0765455013 alijitambulisha kwa majina yake halisi.
Nifanyeje jamani? Kwa sababu niliuza hivyo nipate ata ada ya mdogo wangu but kanitapeli sijui nianzie wapi.. Yaani naona kama ule mziki wa harmonize "matatizo" unanilenga mie.
=======
Updated: Nimetaka kuweka hizo ID na picha ila ninahofia endapo sio yeye nitakua na kosa la kuchafua mtu mitandaoni na mwishowe hilo kosa litanitafuna mimi nipate matatizo mengine.
