Natafuta Nyumba ya Kupanga Kigamboni

Natafuta Nyumba ya Kupanga Kigamboni

shakidy

Senior Member
Joined
May 11, 2009
Posts
130
Reaction score
72
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo kati ya Mjimwema, Kibada na Gezaulole. Nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala, sebule na jiko. Pia kuwepo na maji na packing ya gari mbili. Bajeti yangu ni tzs 250,000/= kwa miezi sita na nipi tayari kuhamia kuanzia Januari 2017.

Mawasiliano yangu ni 0755 887785 kwa sms au whatsaap tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom