Njoo na asilimia 70 ya bei ya gari mpya nikupe gari Leo kiasi kinachobaki ulipe kidogo kigodoHabari zenu wana jamvi niko mwanza nataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata kampuni ambayo inauza magari showroom ambapo ntakua naweka Pesa kidogo kidogo hadi ifike kiasi hicho ndo nichukue gari namba yangu 0759212578
kama gari gan toa mfano na kias cha gar mfano mm natala noah nije na bei ganNjoo na asilimia 70 ya bei ya gari mpya nikupe gari Leo kiasi kinachobaki ulipe kidogo kigodo
Njoo yard chagua gari bei halisi ya gari unalipa 70% inayobaki tunaandikishana utalipa lini ,gari unaondoka nayo kadi ya gari inabakikama gari gan toa mfano na kias cha gar mfano mm natala noah nije na bei gan
Hakuna zengwe la kwamba nimeiba gari ikiwa hivyo?gari likipata ajali?balance inalipwa kidogodogo kivipi yaani asilimia ngapi ngapi kwa muda gani?Njoo yard chagua gari bei halisi ya gari unalipa 70% inayobaki tunaandikishana utalipa lini ,gari unaondoka nayo kadi ya gari inabaki
sasa mm nitakujaje huko wakati cjajua nijipange na kias gan unatakiwa utoe maelezo kama mimi ninataka noah uniambie zipo za kuanzia kias ganNjoo yard chagua gari bei halisi ya gari unalipa 70% inayobaki tunaandikishana utalipa lini ,gari unaondoka nayo kadi ya gari inabaki
Point nzuri ila avator yako ya kikuda mkuulakini ki uchumi si salama sana mkuu , tumia bongo kidogo weka kwenye benki kwa kutumia akaunti ya malengo amabayo ndani yake kuna faida lukuki
kwanini ni ya kikudaPoint nzuri ila avator yako ya kikuda mkuu
A lot of things could go wrong!Habari zenu wana jamvi niko mwanza nataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata kampuni ambayo inauza magari showroom ambapo ntakua naweka Pesa kidogo kidogo hadi ifike kiasi hicho ndo nichukue gari namba yangu 0759212578