Aunty kemmy
Member
- Dec 13, 2013
- 46
- 23
Habari zenu wanajf
Natafuta kiwanja maeneo ya boko,
Bunju, madale na mbweni.Nataka kilichopimwa tayari na kama kina hati ititakuwa vizuri zaidi.
Mwenye nacho andika na bei kabisa na ukubwa gani.
Natafuta kiwanja maeneo ya boko,
Bunju, madale na mbweni.Nataka kilichopimwa tayari na kama kina hati ititakuwa vizuri zaidi.
Mwenye nacho andika na bei kabisa na ukubwa gani.