Msaada wa Vyumba vya kupanga Iringa mjini(self)

Danp36

JF-Expert Member
Jul 31, 2010
2,097
920
Mimi ni mgeni hapa Iringa mjini ,naomba anaejua au Dalali ,nahuitaki chumba na sebule (self ) .isiwe mbali Sana na mjini .
 
Ngoja madalali wajeee wa iringa .ila ungekuwa makambako hapaa fastaa ningekuleta kwenye nyumba nzuri tuu ..
 
Mimi ni mgeni hapa Iringa mjini ,naomba anaejua au Dalali ,nahuitaki chumba na sebule (self ) .isiwe mbali Sana na mjini .
0715813240 Mawasiliano .
Dah...hivi hiyo Iringa yenyewe mjini ni wapi? Posta? Legeza Mwendo? Makanyagio? Kitanzini? Mkimbizi? Kwasemtema?
 
Mimi ni mgeni hapa Iringa mjini ,naomba anaejua au Dalali ,nahuitaki chumba na sebule (self ) .isiwe mbali Sana na mjini .
0715813240 Mawasiliano .
nenda sentema...mwang'ingo..mkimbizi...bwawani...TRM...ngome... kigonzile hukosi chumba huko...mwambie mwenyeji wako akupeleke huko
 
Back
Top Bottom