Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

N Naomba kujua ulipo Ubalozi wa Comoro hapa Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Natafuta vijana wawili kwa ajili ya kazi ya kuuza ice cream. Aliyetayari au anamtu anayeweza fanya kazi hii ani PM. Natanguliza Shukrani
0 Reactions
3 Replies
961 Views
Nipo Dar,nahitaji decoder ya Azam bila dishi,aliyenayo au anayejua duka linalouza decoder bila dishi naomba anijuze pamoja na bei yake tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Helo wakuu, kwa wale watu wa acccounts na mambo ya finance nina quick book lattest version naiuza kwa bei poa Nicheki Pm kwa maongezi zaidi
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Natengeneza na kusambaza crisps za ndiz, tambi, karanga za mayai na Ubuyu, kwa mahitaji ndan ya Dar call me on 0764595685
4 Reactions
1 Replies
8K Views
Je unahitaji kuscan document zako kiurahisi? Jipatie hand scanner inayotumia betri uweze kuscan document/picha zako kiurahisi ukidhihifadhi kwenye memory card kwa mtindo wa pdf/img. Ni rahisi...
1 Reactions
6 Replies
878 Views
Ipo Kibàmba. Call: 0622 103 710
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Natafuta screen display ya simu ya LG G2 D801 Kama unaweza kuwa na hiyo simu uniuzie kama spare part niPM
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Ninatengeneza na kuuza ndala/Viatu nzuri na Makapeti ya kufuta uchafu miguuni Rejareja na Jumla. Rejareja Piece 1 = 3000/= Jumla Piece 1 = 2600/= Kapeti Piece 1 =5000/= 0717 872 020
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Tupigie sasa kwaajili ya maelezo zaidi. 0713992607, 0687124275 kwa kazi zetu zaidi tafadhali follow page yetu ya instagram @fortunestudiostz au tovuti yetu www.fortunestudios.co.tz Count on us...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari! Kama kichwa hapo juu, ninauza bus aina ya Eicher (Skyline) namba CVZ. Gari ni yangu. Sababu, nimeanza kufanya shughuli nyingi mikoani na imekuwa changamoto kusimamia. Gari ipo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ina jumla ya vyumba vitatu, kimoja ni master, sebule kubwa,, jiko la kisasa,, Choo cha ndani. Ndani ya fensi yenye pavings Ipo mbezi beach tanki bovu nyuma ya Jengo la SHAMO TOWER Call 0689315582
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
763 Views
SHAMBA LINAUZWA SHAMBA LINAMILIKIWA KISHERIA UKUBWA: EKARI 184 MAHALI: IKWIRIRI RUFIJI SIFA ZA SHAMBA ►UDONGO WENYE RUTUBA ►BARABARA MPAKA SHAMBANI ►KARIBU NA UMEME...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa kwa mawasiliano zaidi nicheki kwa namba 0625552440
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata korosho zilozookwa kwa utaalam Kutoka Lindi. .= .Kwa mawasiliano njoo P.M
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Tunatengeneza na kudesign blogs kwa bei poa kabisa. kwa mwenye uhitaji contact 0659505081
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Nauza nyumba ina vyumba sita imeisha ila tu kuezekwa, ila imeezekwa kikawaida vyumba vitatu vinakaliwa, ina frem moja mbele lakini lipo eneo la kuongeza frem zingine nne na eneo lingine la kujenga...
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Back
Top Bottom