Nauza nyumba maeneo ya Kisewe(Mbande)

Nauza nyumba maeneo ya Kisewe(Mbande)

marwajob

Member
Joined
Nov 20, 2016
Posts
50
Reaction score
61
Nauza nyumba ina vyumba sita imeisha ila tu kuezekwa, ila imeezekwa kikawaida vyumba vitatu vinakaliwa, ina frem moja mbele lakini lipo eneo la kuongeza frem zingine nne na eneo lingine la kujenga nyumba ya kama vyumba tano hadi sita. Bei ni million kumi na mbili.

ce84779ba82f12f4c98a994341d1dc23.jpg
 
Nauza nyumba ina vyumba sita imeisha ila tu kuezekwa,ila imeezekwa kikawaida vyumba vitatu vinakaliwa,ina frem moja mbele lakini lipo eneo la kuongeza frem zingine nne na eneo lingine la kujenga nyumba ya kama vyumba tano hadi sita.Bei ni million kumi na mbili



Kisewe iko wapi? Weka na picha ukubwa wa eneo document za eneo.
 
Kisewe iko wapi? Weka na picha ukubwa wa eneo document za eneo.
Kisewe ni mbele ya uwanja wa TEAM YA AZAM kule chamazi ipo wilaya ya temeke mkoa wa Dar es salaam.

Ila picha ni muhimu zaidi kwa muuzaji ili wanunuzi waithaminishe na hiyo bei aliyoiweka.
 
Poa wadau!kuhusu picha ntaweka ila document sitaweka kwa sababu za kiusalama.lakini anybody interested,anaweza kunitafuta kwenye namba hii 0627436416/0719963345.
 
Poa wadau!kuhusu picha ntaweka ila document sitaweka kwa sababu za kiusalama.lakini anybody interested,anaweza kunitafuta kwenye namba hii 0627436416/0719963345.
Usalama gani unazungumzia? Labda kama ni kiwanja cha utapeli.
 
Nina uhakika umenielewa sema tu ni kawaida yetu watz Ku argue even the fact
 
Nina uhakika umenielewa sema tu ni kawaida yetu watz Ku argue even the fact
Kweli ni kawaida yetu wa tz ku argue hata kwenye fact.....ndo maana hata ww ume argue kwenye swala la fact. Swali lilikua wazi ni sababu gani za kiusalama???? Unaanza kulialia.
 
Mungu wangu! Sasa hivi wimbi la uuzaji wa nyumba ni kubwa kuliko uuzaji wa simu!
Kama mtu una pesa kwa sasa ni wakati wa kuwekeza,kama hali ya uchumi ikija kutengemaa utakuwa wakati wa mavuno.
Hahahaaaaa
 
Hili ni tangazo au ni nini?? Maana halijakamilika hata kidogo... Ukubwa,bei na vitu vingine.
Halafu huu Uzi upeleke jukwaa husika.
 
Hii ni ile nyumba tuliozungumzia hivi majuzi kua inauzwa na wengi mkadai picha.kubwa pembeni ndo nyumba yenyewe milango yake ipo upande wa pili.Inayoonekana na matoleo ni frem.
 
Back
Top Bottom