Nauza Eicher Bus namba CVZ

Nauza Eicher Bus namba CVZ

Liutenant

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
620
Reaction score
1,014
Wakuu habari!

Kama kichwa hapo juu, ninauza bus aina ya Eicher (Skyline) namba CVZ. Gari ni yangu.

Sababu, nimeanza kufanya shughuli nyingi mikoani na imekuwa changamoto kusimamia. Gari ipo katika hali nzuri generally ila nimeipaki kwa muda (tangu tarehe 20 November 2016) kutokana na matukio ya kugongesha gari mara kwa mara yanayofanywa na madereva. Yaani akikusanya mapato ya wiki, kabla hajanitumia anasema gari imepata ajali then anatumia ile hela kutengeneza.

Ina bima kubwa, imelipiwa vibali vyote isipokuwa TRA kwa ajili ya Juni hadi December 2016.

Kwa sasa bus lina ruti ya Makumbusho - Mbagala.

Bei ni Maelewano (marekebisho kadhaa ya 2m ni juu yangu)

Kwa anayependa kununua njoo inbox kwa mawasiliano Zaidi.

Asanteni.
 
Kama bei ipo chini ya thamani kwa zaidi ya nusu ndio uiweke (bei ya kutupa)
Kama bei ni negotiable but value for money ikazingatiwa basi wahitaji mkwende pm.

Ila weka picha.
 
Kama bei ipo chini ya thamani kwa zaidi ya nusu ndio uiweke (bei ya kutupa)
Kama bei ni negotiable but value for money ikazingatiwa basi wahitaji mkwende pm.

Ila weka picha.

Sijakuelewa mkuu hapa. Gari ina miaka miwili na nusu hivyo nimepanga bei kulingana na mahesabu niliyofanya.
 
Sijakuelewa mkuu hapa. Gari ina miaka miwili na nusu hivyo nimepanga bei kulingana na mahesabu niliyofanya.
Nasema kama unauza kwa bei ndogo sana ndio uianike hadharani ili iwe gombania goli, ila kama unauza kwa bei inayolingana na thamani ya gari likivyo kwa sasa basi usitupe kuku kwenye mchele mwingi, weka picha tu wahitaji waku pm.
Naamini umenielewa kwa verssion hii .
 
Nasema kama unauza kwa bei ndogo sana ndio uianike hadharani ili iwe gombania goli, ila kama unauza kwa bei inayolingana na thamani ya gari likivyo kwa sasa basi usitupe kuku kwenye mchele mwingi, weka picha tu wahitaji waku pm.
Naamini umenielewa kwa verssion hii .

Okay mkuu, asante.
 
Back
Top Bottom