Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba lipo dar es salaam wilaya ya kigamboni kata ya kisarawe two lina heka 15 kila heka nakodisha kwa 200,000 utalima kwa misimu miwili, maji yapo. Kwa mawasiliano 0627748402
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Habari za saa hizi wakuu mzgo huo upo sokoni mwenye 280000 tuwasiliane nipo gongo la mboto
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Ninauza vyot kwa pamoja kwa bei ya 320000 Tv ni nchi 21 aina ya singsung, Napatikana kwa namba 0766121403
0 Reactions
8 Replies
28K Views
Nafasi ya kulala ipo kwa wazoefu wa main campus.....kwa mwanafunzi wa udsm wa kiume tu, kwa maelezo zaidi njoo inbox.
0 Reactions
0 Replies
542 Views
Jipatie viti vya plastic kwa matumizi ya nyumbani na sehemu mbalimbali kulingana na mahitaji yako.ukihitaji unaletewa popote ulipo kwa wateja wa dar unaletewa bure na wa mikoani tuna tuma pia kwa...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Habarini wakuu,kwa anaeuza mashine ya selcom anipm Asante
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Spacio mpya kabisa inauzwa milion 13 na maongezi yapo. Ina vibali vyote km unahitaj wasiliana nami 0713806766. Ipo mbez dsm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iphone 5 (12gb) inauzwa bei 350k but negotiable serious buyers mni pm nipo Dar
0 Reactions
2 Replies
713 Views
Nyumbabunifu ni mradi wa uwezeshaji wa umiliki wa nyumba kwa gharama nafuu na kwa njia mbalimbali za ulipaji kwa njia mbalimbali, mradi huu umebuniwa na kuratibiwa na kampuni ya Chad Creation co...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau, Naombeni msaada wa link za kuamini za mitandao zinazouza magari toka SA kama zile za japani ambazo ni za kuaminika na c za kitapeli. Kuna gari aina ya toyota hilux ya mwaka...
0 Reactions
1 Replies
692 Views
Tecno mpya w5 300000 Na zawadi ya 32GB memory
0 Reactions
9 Replies
7K Views
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau; Chumba cha kupanga kinatafutwa, maeneo ya Ubungo mpaka Kimara Mwisho 1. Chumba Kiwe Na Umeme Na Maji 2. Kisiwe Mbali Na Barabara 3. Kikipatikana chenye choo ndani au choo cha kujitegemea...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta monitor 24 hadi 32 inch. Iwe HP, Dell, au make yoyote ile. Mwenye nayo PM me
0 Reactions
1 Replies
811 Views
karibu ujipatie domain name na hosting kwa ajili ya site yako kwa bei kuanzia 20000 wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninahitaji dada wa kunifanyia kazi za ndani. Ninaishi Mwanza Wilaya ya Ilemela kata ya Buswelu. Mshahara utakuwa Tshs50,000/ kwa mwezi. Aanatakiwa awe na sifa zifuatazo: 1. Ajue kusoma na...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Waungwana Mimi ni mfuga Nyuki nipo Dodoma. Nimepata dharula ,sina namna nimeamua kuuza Asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya hasara ili nikidhi hitaji lililonisibu. Asali huwa nauza ndoo ya Lita 20...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza bidhaa za kutunza ngozi bila kuchubua wala kuharibu ngozi kwa style yoyote ile Happy skin ....ewe Mkaka na mdada changamkia hii hutojutia makovu yote mwilini na vipele kwisha unabaki soft...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nahitaj redio yoyote ya memory card iwe ndogo ama size fulani nipo moshi njoo pm
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom