Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu najua JF ni kubwa sana, hapa nitapata msaada wetu ama nitapata mwanga. Kuna viti nataka nivisafirishe kutoka hata DSM kwenda Cape Town, South Africa. Na-prefer viende kwa meli so kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kadli siku zinavyozidi kwenda vitendo vya wizi na utapeli wa kila aina unazidi kushamili katika jamii, pengine ni changamoto ya kiuchumi, mazoea ama nafsi ya mtu hupelekea vitendo kama hivi...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Zantel wameshauriwa na Distributor wao mkubwa anayeitwa Rifaro ili watumie fungu la advertising kuwalipa wana wa mtandao ili wawaenezee biashara yao badala ya kupoteza mapesa kwenye matangazo ya...
1 Reactions
38 Replies
27K Views
Mimi ni interior designer , mambo ya mapazia sofa , Tuwasiliane 0785462949. Karibuni
8 Reactions
63 Replies
20K Views
imetumika miez 4 haina tatizo lolote inaenda kwa 200k....pm kwa maongez zaid
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Wadau nahitaji tent la kukodi linaloweza kuchukua sehemu ya watu 500 lisiwe linafunika hadi chini. 0758844240
0 Reactions
3 Replies
817 Views
Nyumba inapangishwa laki 3.5 kwa mwezi,ina Geti imezungushushiwa uzio,vyumba vinne,sitting room,dining room, car parking na maji yapo ipo karibu na barabara kuu maeneo ya Airport Daressalaam!
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Wadau, Kuna hitaji la haraka sana la chumvi isiyosagwa (coarse salt) na siyo fine salt , kwa wingi sana kama tani 30 kwa wiki. Soko lipo tayari mwenye namna naomba tuwasiliane haraka sana kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
INTRODUCTION Kwa sasa hauitaji kulipia DSTV package yoyote maana Tayari wachina wameingia Chimbo na wamekuja na hizo receiver/Dongle za Sattelite Key Sharing(sks) na Internet key Sharring(IKS)...
6 Reactions
240 Replies
50K Views
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali hapa dar es sala. Tunatoa mikopo kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Riba ni 18% kwa mwaka. Malipo ni...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Karibuni ndugu zangu kwenye huduma za bei nafuu kabisa za Mapambo,Chakula, Keki za sherehe za aina zote, MC na Mziki. Kama una harusi, send-off, kitchen party, kipaimara, ubarikio, maafari ya aina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza ps2 complete sets, # cheaped console #2 pads #1 8gb flash disk with three games of your choice. #1 booting memory card all cables Bei 150,000/= No ya simu 0658327429 Dar es salaam...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu. Mimi ni mzalishaji wa sembe bora. Nepeleka dar-es-salaam na Moro. Napokea oda za sembe kwa mfuko wa kilo 25. Sembe ni nzuri na nyeupe. Bei ya jumla ni tsh 26000tsh kwa kilo 25...
1 Reactions
0 Replies
877 Views
natafuta flat screen tv nina 150,000 aina yoyote. nipo ddarr
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Kwa laki mbili nitapata simu gani wakuu iliyotumika na yenye Hali Nzuri. Na itapendeza Zaidi kwa watu wa moshi na Arusha. Kwa mawasiliano 0654278188
0 Reactions
19 Replies
2K Views
nyumba ipo eneo la masuguru karibu na shule,imefikia kwenye renta .ina raman ya kisasa kwa mawasiliano piga namba 0658114111
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Habari wakuu, Natafuta frem ya kukodisha maeneo ya ferry/kivukoni Dar es Salaam, budget yangu ni kuanzia tsh 120,000/= mpaka 180,000/= kwa mwezi, malipo kodi ya miezi 6. Mwenye nayo tuwasiliane...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CONDITION - used RUNING WINDOWS 10 PRO PROCESSOR - intel core i7 @ 3.1 ghz RAM - 12GB [4X3] GRAPHIC CARD - AMD radeon hd 6950 GRAPHIC MEMORY - 2GB GDDR5 HDD - 1 TERA 26" FLAT HD MONITOR WITH...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu iko in Great condition, battery is good Bei 450,000/= Negotiable kidogo
1 Reactions
7 Replies
799 Views
Kuna aina 3 ya dawa. 1.Inakuza eneo ambalo limepotelewa na nywele kwa sababu ya kemikali au DNA cells (kuotesha upara),kwa wanaune na wanawake. kipimo ni 200mls @30000/- 2. Inakuza nywele...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom