Natafuta fundi mzuri wa TV Nina TV yangu LG 46" inawaka kwa kumwekuamwekua baadae inakaa sawa. Ila inaonyesha kama imeongeza mwanga na picha unaona kwa mbali kama kuna ukungu hivi wanajamii.
Tatizo hilo na mie ninalo kwenye Samsung, warrant yake ilishaisha hivyo agent hana msaada na mimi, wajuzi wanasema ninunue kioo kipya Tsh 300,000/= na fundi kama 80,000 hivi, nimeamua kurudi enzi zetu na kuagiza TV used yenye mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.