RIZIKI ALLYS MUHUNZI
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 637
- 779
Habarii ndugu zangu wanajamii forum,nauza kiwanja changu kina ukubwa wa miguu 35×35 na kipo sehemu nzurii kwa maelezo zaidii piga no 0658467996
kinatakiwa mil.10 maelewano yapoweka tu bei kaka
Kwa ushauri tuu mkuu, ni bora ukaanzisha thread yako ili kuonyesha kuwa upo serious. Unapoweka Uzi katika uzi wa mwingine inaonyesha kwamba haupo serious ama huna uhakika na unachokisema. Au alotoa uzi ndio kakukumbusha ama?!Pia ninacho Chakenge 25/25 na tofari 1300 bei mil.8