Elvicepride
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 243
- 65
Nina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
LawANASOMA course gani?
sasa hivi inabidi utafute atleast i3, kama hujali used cheki hii laptop
Amepangiwa masomo gani??? Engineering au sayansi au arts??? Pc ya mtu wa engineering ni tofauti ka na ya mtu wa artsNina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
ANASOMA course gani?
Kamaliza Form 6 yupo Clinical MedicineAmepangiwa masomo gani??? Engineering au sayansi au arts??? Pc ya mtu wa engineering ni tofauti ka na ya mtu wa arts
chukua asusNina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
tafuta tu i3 mpya mtaani itafaa, kwa hio laki 6 sidhani kama zinapatikana siku hizi andaa atleast laki 7. jiepushe na laptop za celeron na pentium utakazozikuta huko madukani.Clinical Medicine
Nichukue za processor ipi bruh?tafuta tu i3 mpya mtaani itafaa, kwa hio laki 6 sidhani kama zinapatikana siku hizi andaa atleast laki 7. jiepushe na laptop za celeron na pentium utakazozikuta huko madukani.
ram na hdd sio tatizo vinaongezeka,
i3 kaka, yoyote kuanzia 4th generationNichukue za processor ipi bruh?
Nitafute 0714013531 ndo biashara hyoNina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
Npigie 0714013531bei hazifiki hata 500,000/=Nina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?