Nauza mlango wa kioo na aluminium

Nauza mlango wa kioo na aluminium

shaks001

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
1,246
Reaction score
1,071
Kama mada inavyojieleza,ninauza mlango wa kioo na aluminium wenye ukubwa wa futi 6 kwa 7.
Bei ni laki nne na nusu(450,000/=),una hali nzuri kabisa,umetumika kwa mwaka mmoja tu.Mlango upo Dar,maeneo ya Kimara Resort.

Mawasiliano:0743251556-Ukipenda kuja kuuona karibu sana.
 

Attachments

  • 1480760866340.jpg
    1480760866340.jpg
    39.6 KB · Views: 121
  • 1480760890236.jpg
    1480760890236.jpg
    39.6 KB · Views: 83
Kama mada inavyojieleza,ninauza mlango wa kioo na aluminium wenye ukubwa wa futi 6 kwa 7.
Bei ni laki nne na nusu(450,000/=),una hali nzuri kabisa,umetumika kwa mwaka mmoja tu.Mlango upo Dar,maeneo ya Kimara Resort.

Mawasiliano:0743251556-Ukipenda kuja kuuona karibu sana.
wakishanunua leta mrejesho hapa
 
Mkuu naona umefunga biashara yako ya vipodozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom