Nauza vyungu, muacha asili si jasiri

Nauza vyungu, muacha asili si jasiri

mwerevu mwenye busara

Senior Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
144
Reaction score
94
Tunauza vyungu original vya aina mbalimbali jumla na rejareja. punguza matumizi ya sufuria kwa ajili ya afya yako na dumisha utamaduni wako.
Vinapatikana kwa bei nzuri na size na design mbalimbali
1479799243748.png
1479799251718.png
1479799261248.png
 
Yalaaaaa sasa mbona husemi unapatikana wapi na bei?
Nimemiss mtori wa bibi aliokuwa akinipikia kwenye chungu [emoji39]
 
Yalaaaaa sasa mbona husemi unapatikana wapi na bei?
Nimemiss mtori wa bibi aliokuwa akinipikia kwenye chungu [emoji39]
Tupo chimala mbeya bei zake ni kuanzia 4500 rejareja na kuendelea kutegemeana na ukubwa na design.
ukihitaji zaidi ya 20 punguzo lipo
 
Tupo chimala mbeya bei zake ni kuanzia 4500 rejareja na kuendelea kutegemeana na ukubwa na design.
ukihitaji zaidi ya 20 punguzo lipo
Nilijua tu utakuwa mbali huko.
Ukipata mtu anayekuja Dsm nitafute pls...
Nipate walau viwili vinanitosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom