Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,268
- 4,490
Shamba linaukubwa wa heka mbili lipi nnje kidogo ya mji wa ifakara lipo baada ya airport ya ifakara maji bomba yapo Jirani na ukitaka kuchimba maji (Water table ipo juu) unachimba kidogo tuu bei ni 2m kwa heka moja.
Mazao yanayokubali n mpunga,ufuta,karanga,viazi,mihogo,mahindi, na yenye dalili za hzo. H
Pia kwa umwagiliaji kitunguu maji,swaumu,Mpunga,mahindi kunde nlipeleka udogo sua wakaupima
Hata kwa ufugaji kuna jamaa Jirani anafuga samaki na kuku @large scale
Tuwasiliane kwa uhitaji piga
0717485865
Mazao yanayokubali n mpunga,ufuta,karanga,viazi,mihogo,mahindi, na yenye dalili za hzo. H
Pia kwa umwagiliaji kitunguu maji,swaumu,Mpunga,mahindi kunde nlipeleka udogo sua wakaupima
Hata kwa ufugaji kuna jamaa Jirani anafuga samaki na kuku @large scale
Tuwasiliane kwa uhitaji piga
0717485865