Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,535
Habari za muda huu wapendwa waheshimiwa wa jamii forums,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninauza kwa kuwa nimepatwa na matatizo kidogo bei ni 150k deki na tv,
Deki nimeinunua tarehe 22 mwezi uliopita na tv ni mtumba ila inafanya kazi vizuri ina njia za av 1in na av 2 in pamoja na av out ,inch 18, kifupi haina tatizo lolote ,
Endapo utahitaji tuwasiliane kwa namba 0752467499 ,
Napatikana Ushirombo Geita Tanzania mtaa wa majengo,
Karibuni sana wateja.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninauza kwa kuwa nimepatwa na matatizo kidogo bei ni 150k deki na tv,
Deki nimeinunua tarehe 22 mwezi uliopita na tv ni mtumba ila inafanya kazi vizuri ina njia za av 1in na av 2 in pamoja na av out ,inch 18, kifupi haina tatizo lolote ,
Endapo utahitaji tuwasiliane kwa namba 0752467499 ,
Napatikana Ushirombo Geita Tanzania mtaa wa majengo,
Karibuni sana wateja.