Wakuu habari! Naitaji shelves na vifaa vingine husika nataka kufungua min-supermarket.
Kwa yeyote alie nanyo au anafahamu sehemu naweza pata
ninaitaka unaiuza shilingi ngapi?Mkuu mm sina shelves ila kama unataka kufungua min supermarket ninaweza kukuuzia software itakayokusaidia kufanya mauzo na kuweza ku control bidhaa zote dukani....nitaiweka na barcode hivyo itaweza kuscan bidhaa zote.
Kaka nichek 0732 000 001 maana bei inategemea ni vitu unataka viwepo.ninaitaka unaiuza shilingi ngapi?
Mimi sina hivyo vifaa ila naomba uniajir ukishafungua hiyo minsupermarket..Wakuu habari! Naitaji shelves na vifaa vingine husika nataka kufungua min-supermarket.
Kwa yeyote alie nanyo au anafahamu sehemu naweza pata