Stanboy JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 1,115 Reaction score 1,324 Dec 12, 2016 #1 Habari? Natafuta frem Kariakoo mtaa wa Congo,yeyote anayeweza kusaidia kupatikana tuwasiliane pm haraka...ukifanikisha utalipwa posho. Asante
Habari? Natafuta frem Kariakoo mtaa wa Congo,yeyote anayeweza kusaidia kupatikana tuwasiliane pm haraka...ukifanikisha utalipwa posho. Asante
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,970 Reaction score 30,135 Dec 12, 2016 #2 Kuna jamaa nliona kafungiwa pale karibu na DDC, kuuliza kumbe anadaiwa 70Mill sijui na benki au TRA nimesahau hata, kajaribu pale ulizia vizuri
Kuna jamaa nliona kafungiwa pale karibu na DDC, kuuliza kumbe anadaiwa 70Mill sijui na benki au TRA nimesahau hata, kajaribu pale ulizia vizuri
Jopaki Senior Member Joined Jan 22, 2015 Posts 131 Reaction score 180 Dec 12, 2016 #3 Nyoosha maelezo.. ya mbele ata ndani sawa???
Stanboy JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 1,115 Reaction score 1,324 Dec 12, 2016 Thread starter #4 Shark said: Kuna jamaa nliona kafungiwa pale karibu na DDC, kuuliza kumbe anadaiwa 70Mill sijui na benki au TRA nimesahau hata, kajaribu pale ulizia vizuri Click to expand... asante
Shark said: Kuna jamaa nliona kafungiwa pale karibu na DDC, kuuliza kumbe anadaiwa 70Mill sijui na benki au TRA nimesahau hata, kajaribu pale ulizia vizuri Click to expand... asante
Stanboy JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 1,115 Reaction score 1,324 Dec 12, 2016 Thread starter #5 Jopaki said: Nyoosha maelezo.. ya mbele ata ndani sawa??? Click to expand... Yoyote sawa tu...mbele au nyuma yote sawa tu
Jopaki said: Nyoosha maelezo.. ya mbele ata ndani sawa??? Click to expand... Yoyote sawa tu...mbele au nyuma yote sawa tu
Senior Boss JF-Expert Member Joined Aug 19, 2011 Posts 3,405 Reaction score 3,702 Dec 13, 2016 #6 Shark said: Kuna jamaa nliona kafungiwa pale karibu na DDC, kuuliza kumbe anadaiwa 70Mill sijui na benki au TRA nimesahau hata, kajaribu pale ulizia vizuri Click to expand... Alaf ni mwanamke si ndio ?? Kama ni huyo nasikia ni bank babu.....kashindwa rejesha. Biashara ngumu bob kitaa hamna hela. [emoji23][emoji23]
Shark said: Kuna jamaa nliona kafungiwa pale karibu na DDC, kuuliza kumbe anadaiwa 70Mill sijui na benki au TRA nimesahau hata, kajaribu pale ulizia vizuri Click to expand... Alaf ni mwanamke si ndio ?? Kama ni huyo nasikia ni bank babu.....kashindwa rejesha. Biashara ngumu bob kitaa hamna hela. [emoji23][emoji23]
Stanboy JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 1,115 Reaction score 1,324 Dec 13, 2016 Thread starter #7 Msaada wenu wadau