nauza line yangu ya tigopesa

nauza line yangu ya tigopesa

Nommy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
448
Reaction score
27
Nauza line yangu ya tigopesa kwa bei ya sh 190000 tu ipo active nikuchukua na kuendelea na kazi

0621612009

Bei 190000. Tu
 
Anaetaka lain ya m.pesa pia ninayo na ipo active, tsh 170,000/= tu,

0765-190024 kwa mawasiliano!
 
Nikupe 100k hiyo line ya tigo pesa mda wowote Ukiwa Tayar niambie
 
Anaetaka lain ya m.pesa pia ninayo na ipo active, tsh 170,000/= tu,

0765-190024 kwa mawasiliano!
Mpesa nikupe 110k cash on delivery, nitafute kabla sijagawa kwa madogo waendao shule......pesa changamkia nipe jibu, npo moro leo
 
Alie serious na till m.pesa atoe 150k tunafanya biashara!
 
Nahitaji tigopesa mkuu,kama uko tayari 150k nikupatie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom