Shamba Lina Ukubwa Wa Ekari Tano Na Nusu.
Lipo Msata Mita Chache Kutoka Barabara Iendayo Tanga Na Pia Mita Chache Kutoka Barabara Iendayo Bagamoyo. Ni Eneo Zuri Hasa Kwa Wenye Lengo La Uwekezaji...
Gari Kluger new model ya 2012 inauzwa ni namba DEF picha hiyo ni kabla haijawekwa namba bei 60m maongezi yapo dalali hatakiwi ukitaka tuwasiliane ni PM
Habari,wakuu!,
kama unahitaji kuwa na library ya vitabu nyumbani kwako,hii ni Taarifa nzuri kwako!,ni jambo jema kwa mtu anaependa na kutambua umuhimu wa kusoma nyumbani kwake yeye na familia...
PICHA: HOTELI MPYA TANZANIA, WATEJA HULIPA SHILINGI MILIONI 22 KWA USIKU MMOJA. BURUDANI - AUGUST 29, 2016-
Hoteli hii iko katika kisiwa cha Thanda kusini mwa Tanzania. Ina vyumba 5 vya kulala...
Wakuu nimejichanga kidgo niweze kupata hela ya kula huku nakusanya mtaji kwa ajili ya kikubwa zaidi.
Ni biashara ya kukaanga na kuuza chipsi barabarani. Kuna dogo nimempata kwa ajili ya...
Jumba hilo lipo Mbezi Juu si mbali toka barabara iendayo Bagamoyo.
Jumba halijakamilika.
Upande wa mashariki wa jengo hilo una nyumba tatu ambapo kila nyumba ina chumba cha kulala chenye choo...
Wakuu ninaomba mwenye taarifa za kuhusu upatikanaji wa soko la tangawiz ndani na nje ya nchi.
Tumelima na zitakua tayar kuvunwa anytime kuanzia sasa lkn mpaka kufikia hapa nkiandika hii thread...
Brandnew IPhone 5s for sale
Original and Full Boxed
16GB Internal Storage
Space grey......560,000
Gold colour......580,000
Call 0763342257 or whatsap +86 150-0528-4617