Nahitaji gari, nina milioni tano

Nahitaji gari, nina milioni tano

riba

Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
23
Reaction score
13
Wakuu nina milioni tano nataka gari mpya inayo endani na hela yangu ...kuna uwezekano wa kuipata wakuu. ...kwa hio hela..?

Msaada na ushauri PIA napokea wakuu...[emoji120]
 
Wakuu nina milioni tano nataka gari mpya inayo endani na hela yangu ...kuna uwezekano wa kuipata wakuu. ...kwa hio hela..?

Msaada na ushauri PIA napokea wakuu...[emoji120]
Bajaji inawezekana mkuu
 
Wakuu kwa gari kama scarlet hapo kwenye million tano niongeze kama ngapi ivi ili niwenayoo.......
 
Wakuu nina milioni tano nataka gari mpya inayo endani na hela yangu ...kuna uwezekano wa kuipata wakuu. ...kwa hio hela..?

Msaada na ushauri PIA napokea wakuu...[emoji120]
Jamani wadau naombeni tafrisi ya neno gari mpya.
 
kuna paso namber c siyo mpya kama uko poa nitafute 0657145555
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom