Hati ya dharura: Naombeni kazi, boss ameninyima ruhusa ya kusoma.

Lamkyeku

JF-Expert Member
Apr 18, 2014
494
661
Hapa kwenye hii ofisi nina mwaka mmoja tu, nilivyoajiriwa hapa niliwakuta wenzangu wengi wakiwa wanafanya kazi na wanaendelea na masomo, wengi walikuwa wanasoma diploma na degree. Mimi nilikuwa tayari nina degree ingawa hapa sifanyi kazi ya proffesional yangu. Kwakuwa nilikuwa na lengo la kusoma mwaka huu nika apply masters na nikapata na ni evening class. Tatizo linakuja nimeenda kwa boss kuomba ruhusa ya kusoma ili awe ananiruhusu niingie kazini asubuhi kwakuwa hapa kuna shift ya jioni, ili niweze kuingia darasani amekataa. Amedai masters yangu haisaidii chochote kwenye kampuni na pia kwake hata mtu wa cerficate tu anatosha;);). Ada nimeshalipa na nimeanza kusoma maboss wa humu naombeni kazi au nisaidieni ushauri niache kazi au ni postpone chuo? Ni kampuni binafsi.
 
Hapa kwenye hii ofisi nina mwaka mmoja tu, nilivyoajiriwa hapa niliwakuta wenzangu wengi wakiwa wanafanya kazi na wanaendelea na masomo, wengi walikuwa wanasoma diploma na degree. Mimi nilikuwa tayari nina degree ingawa hapa sifanyi kazi ya proffesional yangu. Kwakuwa nilikuwa na lengo la kusoma mwaka huu nika apply masters na nikapata na ni evening class. Tatizo linakuja nimeenda kwa boss kuomba ruhusa ya kusoma ili awe ananiruhusu niingie kazini asubuhi kwakuwa hapa kuna shift ya jioni, ili niweze kuingia darasani amekataa. Amedai masters yangu haisaidii chochote kwenye kampuni na pia kwake hata mtu wa cerficate tu anatosha;);). Ada nimeshalipa na nimeanza kusoma maboss wa humu naombeni kazi au nisaidieni ushauri niache kazi au ni postpone chuo? Ni kampuni binafsi.

Acha kazi ili ujue ilivyo kazi kupata kazi...
 
kumaster kile ulichosoma undergraduate ni mpaka uwe umekifayanyia kazi kumbe?
Kwani ulikua hujui....hii degree yako ya wapi???? Unaomba kazi kwa mabosi wa humu hata hufafanui umesomea nn. Sasa kujieleza mwenyewe tu unashindwa unadhani boss gani atakupa ofisi mtu usiyeweza hata kujieleza.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kwani ulikua hujui....hii degree yako ya wapi???? Unaomba kazi kwa mabosi wa humu hata hufafanui umesomea nn. Sasa kujieleza mwenyewe tu unashindwa unadhani boss gani atakupa ofisi mtu usiyeweza hata kujieleza.
GRADUATES CAN DO ANYTHING!!!! Halafu mbona umepanic waachie wenye ofisi zao.
 
GRADUATES CAN DO ANYTHING!!!! Halafu mbona umepanic waachie wenye ofisi zao.
Kweli nimetoa povu......kumbe GRADUATES CAN DO ANYTHING...... Tuna upungufu wa madaktari muhimbili tuwapeleke hao graduates wa social works......
 
kumaster kile ulichosoma undergraduate ni mpaka uwe umekifayanyia kazi kumbe?
Are you a graduate!?
Hujui hata taratibu za kusomea masters?
Afu umeajiriwa ukafanye kazi au usome? After all una mwaka mmoja tu waajira!

Hujitambui ww!
 
Hayo ni mambo ya kawaida kazini. Huwezi kuomba ruksa baada ya kuaply na kupata. Utaratibu unaomba kabla ya kuomba. Wengine tumeacha kazi sana na kuuza vitu ili tusome.
Pole sana.
Karibu kwenye ulimwengu halisi.
 
Hapa kwenye hii ofisi nina mwaka mmoja tu, nilivyoajiriwa hapa niliwakuta wenzangu wengi wakiwa wanafanya kazi na wanaendelea na masomo, wengi walikuwa wanasoma diploma na degree. Mimi nilikuwa tayari nina degree ingawa hapa sifanyi kazi ya proffesional yangu. Kwakuwa nilikuwa na lengo la kusoma mwaka huu nika apply masters na nikapata na ni evening class. Tatizo linakuja nimeenda kwa boss kuomba ruhusa ya kusoma ili awe ananiruhusu niingie kazini asubuhi kwakuwa hapa kuna shift ya jioni, ili niweze kuingia darasani amekataa. Amedai masters yangu haisaidii chochote kwenye kampuni na pia kwake hata mtu wa cerficate tu anatosha;);). Ada nimeshalipa na nimeanza kusoma maboss wa humu naombeni kazi au nisaidieni ushauri niache kazi au ni postpone chuo? Ni kampuni binafsi.
Ushauri mzuri nenda kasome ,achana na huyo anayejiita muajiri na kutokuwa na uelewa .Anaona ameshanunua utu wako, ninakuhakikishia huko shule utakutana na watu watakaokusaidia kujuana na watu watakao kupa hata kibarua au utakutana hata matajiri wanafunzi wenzako watakao kupa ajira tena iliyobora kushinda uliyonayo sasa.Na kwavile wewe huchagui kazi Unaweza ukapata kibarua chochote kingine cha kujishikiza asubuhi na jioni ukaendelea na shule.
 
Ushauri mzuri nenda kasome ,achana na huyo anayejiita muajiri na kutokuwa na uelewa .Anaona ameshanunua utu wako, ninakuhakikishia huko shule utakutana na watu watakaokusaidia kujuana na watu watakao kupa hata kibarua au utakutana hata matajiri wanafunzi wenzako watakao kupa ajira tena iliyobora kushinda uliyonayo sasa.Na kwavile wewe huchagui kazi Unaweza ukapata kibarua chochote kingine cha kujishikiza asubuhi na jioni ukaendelea na shule.
Asante kwa ushauri, nimeanza kusoma tayari!
 
Back
Top Bottom