Natafuta mtu wa kunikodishia Car Wash

Natafuta mtu wa kunikodishia Car Wash

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,198
Reaction score
7,539
Wakuu,

Natafuta mtu mwenye Car wash Dar es salaam anikodishie niwe naiopatrate namlipa kwa mwezi au miezi kama tutakavyokubaliana. Napenda sana kazi ya kuosha gari ila sijapata sehemu nzuri kwa kweli.

Asanteni.
 
Wakuu,

Natafuta mtu mwenye Car wash Dar es salaam anikodishie niwe naiopatrate namlipa kwa mwezi au miezi kama tutakavyokubaliana. Napenda sana kazi ya kuosha gari ila sijapata sehemu nzuri kwa kweli.

Asanteni.
kwa Mwanza je waweza kufanya hiyo kazi??? eneo ni zuri liko barabara ya Nyerere ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom