Nauza barafu kwa bei ya jumla

Nauza barafu kwa bei ya jumla

lowale

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
209
Reaction score
109
Mimi ni mjasiriamali ninafanya biashara ya barafu .ninauza barafu za kumuunya kwa watoto wa shule .kwa wale vijana wanaotaka kjiajiri ninawauzia barafu kwa bei ya jumla kila moja sh 50 nawao wanauza kwa 100 bado barafu zipo .tutafutane [emoji37] [emoji336] [emoji509] [emoji509] [emoji509] [emoji509] [emoji509] [emoji509] [emoji509]
 
Back
Top Bottom