Kiwanja 40*40 kinauzwa

Kiwanja 40*40 kinauzwa

jopss

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
297
Reaction score
454
Kiwanja kipo Kinondo karibu na Bunju A, kina ukubwa wa upana m40 na Urefu wa m40( sq meters 1600).
Kinauzwa kwa Tsh. MIL 15, Maongezi yapo.

Mawasiliano:
0629- 037727
 
Kiwanja kipo Kinondo karibu na Bunju A, kina ukubwa wa upana 40 na Urefu wa 40. Kinauzwa kwa Tsh. MIL 15, Maongezi yapo.

Mawasiliano:
0629- 037727

Kina hati?
 
Karibu na bunju A ukitokea wap? Umbali kutoka barabara kubwa ya bagamoyo ni km ngap!? Which side of the road upande wa bahari, au upande huu mwingine, honestly i'm interested kusiwe tu na ujanja ujanja nijibu haya maswali kwanza then nichukue hatua ya pili ya kupiga simu
 
Hakuna eneo lina migogoro ya viwanja kama Bunju haswa Kinondo.. Ni shida.. Kwa nwenye shida ya viwanja akienda haya maeneo kuwa makini.. Don't trust anyone
 
kwanza hivi sasa ni marufuku kuuza viwanja visivyo na hati so tafuta hati kwanza ndo uje utangaze biashara yako huku jamii forums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom