Mti wa mtopetope

Mti wa mtopetope

ween

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
414
Reaction score
129
Habarbya asubuhi ndg zangu,
Kuna mti aina ya mtopetope unafanana sana na mstafeli nawengne huuita mstafeli wa kiswahili ila wenyewe hutoa matunda madogo na matunda yake hyana vipele juu kama ulivyo mstafeli
Ndg zabgu naomben kwa mwenye kujua ulipo kwa hapa dar es salaam anielekeze niijie
 
Habarbya asubuhi ndg zangu,
Kuna mti aina ya mtopetope unafanana sana na mstafeli nawengne huuita mstafeli wa kiswahili ila wenyewe hutoa matunda madogo na matunda yake hyana vipele juu kama ulivyo mstafeli
Ndg zabgu naomben kwa mwenye kujua ulipo kwa hapa dar es salaam anielekeze niijie
kuna sehem huwa napita nauonaga ngoja leo nipite nikikuta bado upo ntakujuza no 0715575852
 
Tunda lake linaongeza nn mbona umekuwa mchoyo kufafanua uwasaidie na wadau wengine!
 
Waganga wasumbufu sana.. hapo shida yake sio matopetope, anataka useme umeshindwa akuombe pesa..
 
Back
Top Bottom